deletedUser
New Member
- Jan 9, 2013
- 3
- 3
Ni mboga hyo mkuu kama alivyo sungura!!wa kufanyia nini sasa!!
dahh!! aisee hao wanyama sidhani kama ni chakula sahihi!! kwanini msinunue kuku kuliko hao panya buku.Ni mboga hyo mkuu kama alivyo sungura!!
mkuu unauliza embe Kibada?wa kufanyia nini sasa!!
si unajua mie msukuma wa shinyanga sijui kama hawa wadudu wanaliwa na ugali, mi nkahisi labda ni aina ya panya wa kufanyia practical SUAmkuu unauliza embe Kibada?
hapa mkuu hiyo kitu tamu sana ikiandaliwa kwa kubanika ni kama kuku.si unajua mie msukuma wa shinyanga sijui kama hawa wadudu wanaliwa na ugali, mi nkahisi labda ni aina ya panya wa kufanyia practical SUA
not to that extent!!! appetite ya kumshughulikia huyo mdudu itatoka wapi? huyo ni jamii ya panyabukuhapa mkuu hiyo kitu tamu sana ikiandaliwa kwa kubanika ni kama kuku.
Hata wengine ukiwaonesha unavyobugia michembe watadhani unakula karatasi. Na jirani zenu wanaobugia senene mwingine atasema anakula funza. Tembea uone, magari!not to that extent!!! appetite ya kumshughulikia huyo mdudu itatoka wapi? huyo ni jamii ya panyabuku
Sasa hawa wa nini mkuu?Siuzi mmoja mmoja ,nauza kuanzia kumi na kuendelea. Nipo DSM.
namba. 0652612028
View attachment 650570
Simblis????.I cant buy itSiuzi mmoja mmoja ,nauza kuanzia kumi na kuendelea. Nipo DSM.
namba. 0652612028
View attachment 650570
Simbilisi watamu sananot to that extent!!! appetite ya kumshughulikia huyo mdudu itatoka wapi? huyo ni jamii ya panyabuku