omereyo
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 308
- 91
Mimi ni mjasiriamali natafuta kikoba hapa Dar kwa ajili ya kukuza mtaji na kuhifadhi hela. Tatizo vikoba vya Dar natahadharishwa viko kitapeli baadhi. Je, ni kweli?
Muda wangu ni wikiend, naamini naaminika maana hela bhana! Kikoba chenye nafasi niambiwe tafadhali .
Muda wangu ni wikiend, naamini naaminika maana hela bhana! Kikoba chenye nafasi niambiwe tafadhali .