Kiwanja Kinauzwa Dodoma

Kiwanja Kinauzwa Dodoma

Walekese

Senior Member
Joined
Sep 28, 2016
Posts
149
Reaction score
102
Kiwanja Kilicho pimwa kina ukubwa wa 1000 Dodoma. Kipo karibu na Barabara ( Cha tatu toka barabarani)
 
Kiwanja Kilicho pimwa kina ukubwa wa 626 Dodoma. Kipo karibu na Barabara ya kwenda Iringa ( Cha tatu toka barabarani). Bei sh. Milloni tano.
Ni sehemu nzuri kwa nyumba ya kuishi. Udongo sio mfinyanzi.
 
wawekee na kapicha wanunuzi ili kuwatamanisha mkuu.... usije ukauza hewa au ukauza hamna...

wanaweza jua ni uswazi au kuna miundo mbinu au niaje... kama una satellite navigator pia una weza screen shot position ya ulipo au kiwanja kilipo... ili mtu akizoom mwenyewe akiwa nyumbani na kuona features zilizopo...

Ni ushauri tu ndg.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom