Habari zenu wanaJF?
Nilikuwa nauliza kama kuna mtu anauza simu used aina ya Nokia ya tochi a.k.a Obama anichek pm
Napoishi:Buza Kanisani
Bei ya simu iwe kuanzia 10,000/= hadi 12,000/=
Asanteni
Jamani wana JF nani anafahamu vizuri soko la muhogo yani nauzia wapi nasikia kuna sehemu wanauza kwa wingi zaidi wa kusafilisha nje ya nchi
msaada pliz
Habari zenu wakuu.
Poleni kwa maandalizi ya sikuu ya christmass na mwaka mpya.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Mimi nipo mbeya sasa nimevutiwa na biashara hii ya nguo za watoto pamoja na...
Habari ndugu zangu wa JF poleni kwa majukum ya kazi ...mimi ni binti ninaitwa NEEMA ambaye baada ya kuhangaika kupata ajira vikwazo vikawa vingi nimeamua nifungue kampuni yangu ya USAFI kwa...
Katika msimu huu wa Holidays tunakuletea FURSA ya Kipekee. Unakosaje Fursa kama Hii!
.
.
Jee wewe ni MjasiriaMali mwenye mtaji mdogo?
.
.
Ni fursa ya kipekee ya kujipatia kipato kwa haraka na...
Naomba kufahamu kuhusu kununua bidhaa mtandaoni na kwenda kununua vitu kariakoo ipi ina unafua wa bei na faida inayoridhisha? Hapa namaanisha kununua mzigo mkubwa.
Asanteni kwa muda wenu
habari wadau
nmepata shida na maatzo kidogo hivyo imenipasa niuze computer yangu music system yake bei ni rahisi sana 200000
ina ram 4g
hdd 110gb
pentium 4
naambatanisha na picha ya mali hizi...
Kina urefu wa MITA55 NA UPANA WA MITA 28.80 kipo Musoma eneo la makutano kwa alietayari anicheki
kupitia 0764339400
bei 10m kwa maongezi zaidi unakaribishwa
Habari wakuu,
kama kichwa cha habari kinavyoeleza. naombeni kama kuna mafundi wanajulikana wa kuchimba shimo la choo.
1.) site ipo kigamboni
2) kazi inahitajika kufanyika mwezi wa kwanza
3)...
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans.
Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi
Karibu sana
0654919121
0758919121
0622060797
0683928358...
Napenda kuwatangazia wateja/wanunuzi wa viazi mviringo kutoka pande zote za Tanzania na nje ya nchi kwamba ninauza viazi kwa bei nafuu sana.
KIASI AU UKUBWA WA ENEO
Viazi bado viko shambani yaani...
Kwa walio maeneo husika na kama wanajihusisha na uuzaji wa bidhaa za akina mama kama nguo, viatu, SAA, mikoba nk. najumlisha bidhaa za aina hiyo baada ya kufunga DUKA kwa sababu ya kukosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.