Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Bei maelewano njoo 0620436634
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari zenu wanaJF? Nilikuwa nauliza kama kuna mtu anauza simu used aina ya Nokia ya tochi a.k.a Obama anichek pm Napoishi:Buza Kanisani Bei ya simu iwe kuanzia 10,000/= hadi 12,000/= Asanteni
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Mwenye kuuza line za tigo pesa aniPM tafadhari nahitaji
0 Reactions
5 Replies
861 Views
Jamani wana JF nani anafahamu vizuri soko la muhogo yani nauzia wapi nasikia kuna sehemu wanauza kwa wingi zaidi wa kusafilisha nje ya nchi msaada pliz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Poleni kwa maandalizi ya sikuu ya christmass na mwaka mpya. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi nipo mbeya sasa nimevutiwa na biashara hii ya nguo za watoto pamoja na...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu wa JF poleni kwa majukum ya kazi ...mimi ni binti ninaitwa NEEMA ambaye baada ya kuhangaika kupata ajira vikwazo vikawa vingi nimeamua nifungue kampuni yangu ya USAFI kwa...
1 Reactions
35 Replies
10K Views
Natafuta kibanda/frame ndogo maeneo ya kariakoo kwa biashara ya Tigo Pesa. PM kama wewe ni dalali
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Katika msimu huu wa Holidays tunakuletea FURSA ya Kipekee. Unakosaje Fursa kama Hii! . . Jee wewe ni MjasiriaMali mwenye mtaji mdogo? . . Ni fursa ya kipekee ya kujipatia kipato kwa haraka na...
0 Reactions
37 Replies
28K Views
Natafuta kuku aina ya white Sussex , mwenye nayo naomba acomment
0 Reactions
4 Replies
901 Views
Naomba kufahamu kuhusu kununua bidhaa mtandaoni na kwenda kununua vitu kariakoo ipi ina unafua wa bei na faida inayoridhisha? Hapa namaanisha kununua mzigo mkubwa. Asanteni kwa muda wenu
0 Reactions
2 Replies
857 Views
habari wadau nmepata shida na maatzo kidogo hivyo imenipasa niuze computer yangu music system yake bei ni rahisi sana 200000 ina ram 4g hdd 110gb pentium 4 naambatanisha na picha ya mali hizi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kina urefu wa MITA55 NA UPANA WA MITA 28.80 kipo Musoma eneo la makutano kwa alietayari anicheki kupitia 0764339400 bei 10m kwa maongezi zaidi unakaribishwa
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu salaam zenu. Naomba kama kuna MTU anafahamu watu hawa na ofisi zao ziko wapi mikoani na dar pia
0 Reactions
1 Replies
629 Views
Habari wakuu, kama kichwa cha habari kinavyoeleza. naombeni kama kuna mafundi wanajulikana wa kuchimba shimo la choo. 1.) site ipo kigamboni 2) kazi inahitajika kufanyika mwezi wa kwanza 3)...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ni power supply ya Hp desktop flat, mwenye nayo anicheck tufanye biashara, yangu imekufa.
0 Reactions
2 Replies
685 Views
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans. Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi Karibu sana 0654919121 0758919121 0622060797 0683928358...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
  • Closed
Lenovo sunrise 410A Processor core 2Duo@1.6GHz Hdd 80GB Ram 1GB Charge saa 1 Button 4 kwenye keyboard hazifanyi kazi. Mawasiliano 0653039966 na 0766996914. Piga simu tuelewane. Napatikana...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Napenda kuwatangazia wateja/wanunuzi wa viazi mviringo kutoka pande zote za Tanzania na nje ya nchi kwamba ninauza viazi kwa bei nafuu sana. KIASI AU UKUBWA WA ENEO Viazi bado viko shambani yaani...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Kwa walio maeneo husika na kama wanajihusisha na uuzaji wa bidhaa za akina mama kama nguo, viatu, SAA, mikoba nk. najumlisha bidhaa za aina hiyo baada ya kufunga DUKA kwa sababu ya kukosa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom