Ndugu zangu heshima kwenu jukwaa lenye madini mbali mbali ya elimu,anaefahamu jinsi ya kupata hii mashine ya kusaga na kuhifadhi tangawizi ktk pakti na zenye lebo kisha kuuza nje ya nchi ili...
Habari zenu wote?
Tunasafirisha mizigo ya aina mbalimbali kutoka Arusha,Moshi hadi Tanga.
Tuna lori zetu ambazo huwa zinakuja kuchukua sementi Tanga na hivyo kuja zikiwa tupu na kurudi na mzigo...
Nauza laptop yangu aina ya advent,ni nzima kila kitu kasoro spika hua inatoa sauti ya mkwaruzo wakati wa kuwaka ila kila kitu kipo okay.
Ram:4Gb
Hdd:500gb
Processor:duo core
Karibuni bei ni chee...
jipatie mkoba wa kijanja kwa bei nafuu kabisa. pendeza na tokelezea kijanja kwa malighafi bora
kwa mawasiliano zaidi
watsup 0769103506
halotel 0621095493
Habari za majukumu wadau wa JF.
Nauza kitanda cha mninga 5*6 na godoro lake nchi 8, vyote vimetumika miezi mitano tu.....
nipo Dar tmk mtongani
phone no: 0715253904 au 0744774462.
Karibuni sana...
NAUZA SIMU AINA YA SAMSUNG GALAXY J7 2016 nina shida nataka kurudi mkoani. Niko pugu dar. Simu iko vizuri nimenunua mwaka huu mwezi wa pili dukani. Bei laki 3 na 20tu.
kwa mawasiliano 0655101826.
True Ink Associates inapenda kuwatangazia wote kuwa review class ya CISA (Certified Information Systems Auditor) itaanza tarehe 03/04/2017, Dar Es Salaam City Center.
Kozi ni ya week tano (5)...
Natafuta mtu anaehitaji mawe ya Green Aventure au mtu anayeweza kuniunganisha na soko tukafanya biashara. Mawe haya nnayo mengi na kama yakihitajika zaidi naweza kuyachimba. Mawe yapo Mkoani...
Natafuta mtu anaehitaji mawe ya Green Aventure au mtu anayeweza kuniunganisha na soko tukafanya biashara. Mawe haya nnayo mengi na kama yakihitajika zaidi naweza kuyachimba. Mawe yapo Mkoani...
Tangaza biashara yako na www.kulunzifikra.blogspot.com
Mwanajamvi jipatie ofa ya kutangaza biashara yako kwa bei nafuu msimu huu wa sikukuu.
Biashara yako itawafikia watu wengi kwa blog yetu...
Nyumba yenye kiwanja chenye ukubwa wa hatua 20 x 13 kipo sala sala ya kilimahewa unaingilia Mbuyuni barabara ya Bagamoyo, Nyumba ina vyumba viwili na jiko.
Umeme na maji vipo.
Kiwanja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.