Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,662
Habari zenu wanaJF?
Nilikuwa nauliza kama kuna mtu anauza simu used aina ya Nokia ya tochi a.k.a Obama anichek pm
Napoishi:Buza Kanisani
Bei ya simu iwe kuanzia 10,000/= hadi 12,000/=
Asanteni