Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ipo tabata bunyokwa sio mbali na barabara vyumba viwili kimoja master sebule na jiko na kipo choo cha nje ndani ya eneo utakuwa mwenyewe bei yake 120,000 ukihitaji kuiona tuwasiliane
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Siuzi mmoja mmoja ,nauza kuanzia kumi na kuendelea. Nipo DSM. namba. 0652612028
1 Reactions
23 Replies
7K Views
Hi wadau. Mtu anaeuza mtungi wa gesi ya kuipikia wa kilo 15 anitafute 0774 205159. Nahitaji
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Pata vifaranga bora kabisa aina ya Chotara vya kuanzia wiki 1 na kuendelea kwa ajili ya utagaji mzuri wa mayai ya kienyeji. Pia tunapokea oda za mayai kwa ajili ya kutotolesha, mashine zetu zina...
0 Reactions
18 Replies
10K Views
Acacia mangium (mkesia/mzanzibari) ni mti wa mbao ngumu ambao huvunwa baada ya miaka 7 hadi 10 baada ya kupanda. Miche hii inapatikana kwenye vitalu vyetu vilivyopo kilombero morogoro kwa gharama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba ina vyumba 4 vyote self contain, ina sitting room mbili juu na chini kubwa iko juu, ina jiko sehemu ya kulia chakula, store room bila kusahau car parking yenye uwezo wa kuingia na gari mtu...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Ninauza compressor ya upepo size ya kati. Compressor bado mpya haijatumika na ina vifaa vyake vyote. Niliinunua 650,000 dukani na ninaiuza 400,000 tu. Sababu ni change of business plan. Serious...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu, Msaada wapi nitaweza kujifunza jinsi ya kutengeneza sabuni aina zote au mtu mtu wa kunifundisha. AHSANTENI, 0652600911
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Yanahitajika Maroli kumi ya haraka kupeleka mbolea Muzuzu, Malawi. Kama kuna transporter humu ndani anipigie fasta, 0659890000
0 Reactions
5 Replies
800 Views
Habari. Tunauza dagaa kutoka Mwanza, hawana mchanga kabisa na wamekaangwa wanapatikana wakiwa tayari PACKED kwa bei ya jumla na rejareja. Jumla tunaanzia Package TANO. Contact Us at _0656781601_...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mabati yaliyotumika design ya zamani na ya mwanzo ya alaf aluminium yenye mgongo wa L type yanauzwa pamoja na mbao zilizotumika. Bidhaa zinapatikana magomeni mapipa. Njoo dm tuyajenge
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ndugu wanajamvi, Ninauza nyumba vyumba vinne, pamoja na shule ya chekechea kwa pamoja. viko kwenye kiwanja kimoja chenye ukubwa wa 4500sqm.Kiwanja kipo Pugu Kigogo Fresh. kama utahitaji...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Shamba lenye ukubwa wa hekari tano linauzwa lipo maeneo ya kongowe halmshauri ya mji wa kibaha bei maelewano!
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu nina mpango wa kuanzisha biashara ya mafuta asili ya kujipaka ambayo natengeneza mwenyewe. Ni namna gani naweza kupata vifungashio.
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans. Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi Karibu sana 0654919121
0 Reactions
33 Replies
11K Views
Nauza gari aina ya Toyota PROBOX. Kwa anayehitaji twaweza kuwasiliana. > Gari ni ya mwaka 2008 > Imetembea (kilometa) 42000km > Ukubwa wa injini ni Cc 1500 > Ni Automatic, > Rangi nyeupe Maelezo...
0 Reactions
24 Replies
10K Views
New Samsung Galaxy S6 Plain 32GB Bei 430000. Call 0718028224
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa 25m Vyumba sita,nyumba ya kawaida tu Jiko njee choo nje. Unaweza kufanya adjustment kuweka masterbedroom ya kishkaji Umeme na maji yapo. Karibu na huduma zote muhim,shule nk.Mjini...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Resonate Consulting Group is pleased to announce the first intake of participants for CISA training for 2018. This practical hands-on CISA training will enable participants to acquire marketable...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamani natafuta soko la kuku chotara! napatikana morogoro mjini. karibuni!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom