LONKOOM perfume series,every kind of fragrance is unique and particular.,With fresh and fashionable designstyle,it is developed especially for modern confident ladies and gentlemen.
With over 400...
Habari wakuu..
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Nahitaji smartphone yoyote yenye ubora hata kama ni used nina 100,000 nipo Mtwara mjini.
So kwa yeyote aliye pande hzi au karibu na site hzi...
Habari wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kwamba mimi ni mwanafunzi wa chuo TUMAINI-MAKUMIRA MBEYA CAMPUS.Natengeneza vitanda vya masofa kwa bei poa kama ifuatavyo.
1. sita kwa sita ni...
Lonkoom perfumes ni brand ya perfume inayokuja kwa kasi.ina perfume zaidi ya 400.perfume zao ni za bei nafuu,harufu nzuri na zinazokaa kwa mda mrefu perfume zao zimewekwa kwenye chupa zenye mvuto...
Nauza viwanja PUNA kigamboni ni vilivvyopimwa.
Hati unaweza pewa msaada wakuchukuliwa kwa makubaliano maalum ndani ya miezi 2 unakuwa umepata hati.
Viwanja vinaukubwa wa 600sqm hadi 1000sqm...
Habari zenu wakuu wangu,
Naomba kama kuna mtu mwenye TV used ya Lg 49'' naitaka kwa kesho au keshokutwa, maana ninataka kuitumia week hii
NI PM AU NI TEXT NAMBA HII
0652800182
Habari wakuu..
Nahitaji flat screen ambayo haijatumika sana.
Budget yangu ni Tshs. 150,000/=
Kama utapendezwa na offer yangu, basi tuwasiliane inbox.
Ahsante.
Habari zenu wana jopo.
Naandaa project ya kuzalisha bidhaa ndogo ndogo ni pate kipato na kutoa ajira kwa watanzania wenzangu, nime leta uzi huu kwenu kuomba yeyote anayeweza kunisaidia kupata...
Simu mpya (imeshafunguliwa kwenye box na imewashwa na kuekwa apps chache) aina ya xiaomi redmi note 4 inauzwa, simu imeletwa toka china lakini mhusika alieletewa hata smartphone hajui kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.