Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

LONKOOM perfume series,every kind of fragrance is unique and particular.,With fresh and fashionable designstyle,it is developed especially for modern confident ladies and gentlemen. With over 400...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Kiwanja Kilicho pimwa kina ukubwa wa 1000 Dodoma. Kipo karibu na Barabara ( Cha tatu toka barabarani)
0 Reactions
3 Replies
813 Views
Kiwanja Kilicho pimwa kina ukubwa wa 626 Dodoma. Kipo karibu na Barabara ya kwenda Iringa ( ni cha tatu toka barabarani). Bei sh. Millon tano.
0 Reactions
1 Replies
630 Views
HP probook intel core i5@2.3GHz, hdd 500GB, ram 4GB, charge masaa 3. Bei ni 380000 na inapungua ..Kama unahitaji nipigie 0653039966, na 0766996914
0 Reactions
3 Replies
924 Views
Habari wakuu.. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Nahitaji smartphone yoyote yenye ubora hata kama ni used nina 100,000 nipo Mtwara mjini. So kwa yeyote aliye pande hzi au karibu na site hzi...
0 Reactions
5 Replies
724 Views
Habari wakuu. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kwamba mimi ni mwanafunzi wa chuo TUMAINI-MAKUMIRA MBEYA CAMPUS.Natengeneza vitanda vya masofa kwa bei poa kama ifuatavyo. 1. sita kwa sita ni...
6 Reactions
40 Replies
26K Views
Lonkoom perfumes ni brand ya perfume inayokuja kwa kasi.ina perfume zaidi ya 400.perfume zao ni za bei nafuu,harufu nzuri na zinazokaa kwa mda mrefu perfume zao zimewekwa kwenye chupa zenye mvuto...
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Nashindwa ku attach picha ila ni zile kabati za zipu,mwenye nazo tafadhali tuwasiliane Zile za kitambaa unazifunga na kufungua
0 Reactions
11 Replies
2K Views
ggggg
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Nauza viwanja PUNA kigamboni ni vilivvyopimwa. Hati unaweza pewa msaada wakuchukuliwa kwa makubaliano maalum ndani ya miezi 2 unakuwa umepata hati. Viwanja vinaukubwa wa 600sqm hadi 1000sqm...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana JF nauza laini tajwa hapo juu kwa bei ya sh.300,000 kwa zote mbili ukitaka moja bei ni 150,000 karibuni napatika iringa.
0 Reactions
3 Replies
827 Views
Habari zenu wakuu wangu, Naomba kama kuna mtu mwenye TV used ya Lg 49'' naitaka kwa kesho au keshokutwa, maana ninataka kuitumia week hii NI PM AU NI TEXT NAMBA HII 0652800182
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta kiwanja dar sehemu :mbezi,kimara,madale, na sehemu yoyote ambayo haina msongamano sana
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kama Kiko Mbezi ya Morogoro Road, Kibamba, Kiluvya, Boko, Bunju niPM tufanye biashara ASAP!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu. Nisaidie maeneo kwa hapa Dar es Salaan ninapoweza kupata viatu vizuri vya kiume vya ngozi na kadeti.
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu nina shida na PS, Kwa yeyote anaeuza tafadhali. Iwe poa bila matatizo yeyote PS 2 au PS 3
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wakuu.. Nahitaji flat screen ambayo haijatumika sana. Budget yangu ni Tshs. 150,000/= Kama utapendezwa na offer yangu, basi tuwasiliane inbox. Ahsante.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari zenu wana jopo. Naandaa project ya kuzalisha bidhaa ndogo ndogo ni pate kipato na kutoa ajira kwa watanzania wenzangu, nime leta uzi huu kwenu kuomba yeyote anayeweza kunisaidia kupata...
0 Reactions
9 Replies
13K Views
Simu mpya (imeshafunguliwa kwenye box na imewashwa na kuekwa apps chache) aina ya xiaomi redmi note 4 inauzwa, simu imeletwa toka china lakini mhusika alieletewa hata smartphone hajui kutumia...
3 Reactions
46 Replies
10K Views
Back
Top Bottom