Natafuta chumba karib na Temeke hospitali

Natafuta chumba karib na Temeke hospitali

mzabhe

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2017
Posts
261
Reaction score
280
Wakuu kama title inavosema, soon kuanzia mwez wa kwanza nahamia Temeke.Natafuta chumba
Sifa za chumba: kiwe self, tiles, gypsum,
 
Isijekuwa unafata yale mambo yetu maana yapo jirani sana na tmk hospital
Mambo gan tena mkuu nifahamishe coz mm sio mwenyej apo af ikiwezekana kama mambo mabaya nibadilishe na sehem ya kukaa niwe napanda gari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom