Habari wakuu.
Nini: Eneo la kiwanja chenye ukubwa wa karibu ya nusu heka kinauzwa kwa milioni mbili.
Wapi: Kigamboni. eneo la Kibada
Muhimu: Njoo ulione na kuthibitisha umiliki kwani linauzwa...
Zawadi zenye thamani zaidi ya Milioni 500 kushindaniwa.
Bajaj 52, Bodaboda 52 na Baiskeli 400!
Mteja wa NMB kupata nasafi ya kushinda kwa kuweka kiasi cha Tsh50,000 katika akaunti yake.
Timiza...
Nini: Eneo la mchanga lenye ukubwa wa hekari 31(thelathini na moja) linauzwa
Wapi: Wilaya ya Mkuranga, Kijiji ni Mwanambaya,Ukitokea Kongowe (Kupitia Kilwa Road),ni Kilometa sita toka kinapoanza...
Ni photocopy mashine iliopo katika hali nzuri..na inafanya kazi vizuri kabisa na mimi ndo mmiliki.
Ipo dar,bei ni mil 1,250,000 maongezi yapo.wahi chap tufanye biashara.
0719950447 kwa wanaohitaji tu.
habari wakuu
nina shamba linauzwa,lipo kongowe halmashauri ya mji wa kibaha.eneo linaitwa sarahga.ni umbali wa km 10 kutoka morogoro road...lipo jirani na mashamba ya mo dewji
shamba lina ukubwa...
Muda wa kubadili calendar zetu umefika...Njoo upate kalenda yako yenye picha za wewe na familia yako, wewe na mpendwa wako...wewe na marafiki zako. Kwa bei nafuu
Whatsapp: 0768829357
Email...
Wakuu habari zenu?....kama kichwa cha habari kinavyo jieleza ninamahindi tani 20 ambazo ni magunia 200 ya 100kg @.
Napatikana manundu korogwe kwa mwenye kuhitaji twaweza wasiliana pm au sim...
Kichwa kinajieleza hapo juu sisi ni wajasiliamali tunauza na kufundisha kutengeneza mikoba mikufu helleni za aina mbalimbali kwa kutumia shanga pia kacha aina mbalimbali tunafundisha kutengeneza...
Mimi ni mjasiriamali natafuta kikoba hapa Dar kwa ajili ya kukuza mtaji na kuhifadhi hela. Tatizo vikoba vya Dar natahadharishwa viko kitapeli baadhi. Je, ni kweli?
Muda wangu ni wikiend...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.