Kwa abiria anayeenda Tanga leo nina usafiri wangu binafsi naenda Tanga leo jioni na kurudi kesho.
Nafasi ni tatu tu.
Kwa mtu anayetaka kusafiri na mm Nauli ni 12000 tu.
Kwa mawasiliano zaidi ni PM.
Habarini wana JF niende moja kwa moja tu,
Jamani nauza heavy duty stapler mpya kabisa nilinunua kwajili ya kufungua office yangu sasa naona mambo yamenikalia ndivyo sivyo nazani mnaelewa...
Je wewe ni mwalimu wa Computer,Masomo ya sekondari au masomo yoyote?
Ipo fursa ya kituo cha kufundisha kwa kulipia kwa mwezi gharama nafuu kabisa.
Kituo kipo Boma Ng'ombe Hai
Kwa mawasiliano...
Jipatie modem hii kwa bei ya 20,000/= ufurahie internet yenye kasi ya 4G kutoka Airtel huku ukifurahia Facebook ya bure. Kwanini uangaike na internet zisizoeleweka?! Nichek sasa kupitia...
Pikipiki aina ya Toyo 150cc inahali nzuri kabisa inamiezi kumi.haijawahi kutumika kama bodaboda inauzwa..mmiliki amehamishwa kikazi hivyo inauzwa.kama upo arusha wasiliana na muhusika kwa...
Wadau wa JF
Kwa wale watakaohitaji T-shirts maalumu za Umoja wa Vijana( UVCCM) mnaombwa kuwasiliana kupitia namba 0769024702 Manka Ngowi
T-shirts za rangi zote ng zinapatikana kama vile rangi...
Ukubwa: square meter 1500 (30m x 50m)
Kimepimwa na kina hati ni mali yangu hakuna udalali
Mahali: Kigamboni Cheka karibu na apartments za Sophia simba, ni 29km kutoka Feri
Bei ni Tsh 18,000,0000
Aina ni samsung galaxy s7 edger,lg x400,samsung galaxy core advance,samsung galaxy grand 2,samsung galaxy grand max na huawei na iphone 6 plus karibuni
Mwenye gari iliotajwa hapo juu,
Linahitajika kwa ajili ya kununuliwa, liwe kwenye hali nzuri, linaweza kwenda sehemu yoyote hapa Tanzania bila tatizo lolote.
Bei maelewano
Mayai ya kuku wa kienyeji kwa ajili ya kula na pia ukitaka kwa ajili ya kutotolesha yanapatikana kwa order.
Bei ya tray moja ni elfu kumi tu(10,000tsh) kwa ajili ya kula na elfu kumi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.