Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Aina: Boxer BM150 Tatizo: Block imetanuka, inahitaji block nyingine. Bei: Tsh. 500,000 Mahali ilipo: Kijichi, Dar Mmiliki: Ni Mimi mwenyewe Mawasiliano: 0712518886
0 Reactions
31 Replies
11K Views
Kwa abiria anayeenda Tanga leo nina usafiri wangu binafsi naenda Tanga leo jioni na kurudi kesho. Nafasi ni tatu tu. Kwa mtu anayetaka kusafiri na mm Nauli ni 12000 tu. Kwa mawasiliano zaidi ni PM.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu!! Mwenye speaker au anayejua machimbo kwa bei nzuri za saizi ya kati kwa ajili ya kanisani naomba msaada, used au mpya zozote.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini wana JF niende moja kwa moja tu, Jamani nauza heavy duty stapler mpya kabisa nilinunua kwajili ya kufungua office yangu sasa naona mambo yamenikalia ndivyo sivyo nazani mnaelewa...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Je wewe ni mwalimu wa Computer,Masomo ya sekondari au masomo yoyote? Ipo fursa ya kituo cha kufundisha kwa kulipia kwa mwezi gharama nafuu kabisa. Kituo kipo Boma Ng'ombe Hai Kwa mawasiliano...
1 Reactions
0 Replies
587 Views
Nafundisha kutengeneza incubator mashine za kutotolesha vifaranga Aina zake ninazofundisha - Mashine zinazotumia umeme - Mashine zinazotumia mafuta taa Nitafute whatsapp au tuma sms unaanza na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunauza mashine za kupimia DNA kwa wanaohitaji tuwasiliane
0 Reactions
13 Replies
2K Views
www.kiwaleis.blogspot.com<br />TREATED TIMBERS PRICE LIST<br />2X6 TSH:1300 RFT<br />2X4 TSH: 1000 RFT<br />2X2 TSH: 500 RFT<br />FISHER BOARD<br />1X9 TSH: 1700 RFT<br />1X7 TSH: 1300 RFT<br...
0 Reactions
0 Replies
735 Views
Jipatie modem hii kwa bei ya 20,000/= ufurahie internet yenye kasi ya 4G kutoka Airtel huku ukifurahia Facebook ya bure. Kwanini uangaike na internet zisizoeleweka?! Nichek sasa kupitia...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Pikipiki aina ya Toyo 150cc inahali nzuri kabisa inamiezi kumi.haijawahi kutumika kama bodaboda inauzwa..mmiliki amehamishwa kikazi hivyo inauzwa.kama upo arusha wasiliana na muhusika kwa...
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Lain ya tigo PESA INAUZWA ipo active.. Tel no 0652424250
0 Reactions
2 Replies
895 Views
Wadau wa JF Kwa wale watakaohitaji T-shirts maalumu za Umoja wa Vijana( UVCCM) mnaombwa kuwasiliana kupitia namba 0769024702 Manka Ngowi T-shirts za rangi zote ng zinapatikana kama vile rangi...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Toyota harrier Year:2004 Engine: vvti Cc: 2360 Mileage: 90230 Bei :mil 17,000,000 Mawasiliano: 0717760515
1 Reactions
14 Replies
7K Views
Ukubwa: square meter 1500 (30m x 50m) Kimepimwa na kina hati ni mali yangu hakuna udalali Mahali: Kigamboni Cheka karibu na apartments za Sophia simba, ni 29km kutoka Feri Bei ni Tsh 18,000,0000
0 Reactions
6 Replies
1K Views
RAM 4GB HDD 300 E1 AMD IKO POA SANA BETRI HAIKAI NIPO DAR
0 Reactions
3 Replies
886 Views
Aina ni samsung galaxy s7 edger,lg x400,samsung galaxy core advance,samsung galaxy grand 2,samsung galaxy grand max na huawei na iphone 6 plus karibuni
0 Reactions
90 Replies
10K Views
Iko vizur Sana inapoza ndan muda mfupi na haitumii umeme mwing, Nauza kwa kua ninahamia mkoani kikaz, napatikana kitunda-kivule dsm Contact:0627288599
0 Reactions
23 Replies
8K Views
Mwenye gari iliotajwa hapo juu, Linahitajika kwa ajili ya kununuliwa, liwe kwenye hali nzuri, linaweza kwenda sehemu yoyote hapa Tanzania bila tatizo lolote. Bei maelewano
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mayai ya kuku wa kienyeji kwa ajili ya kula na pia ukitaka kwa ajili ya kutotolesha yanapatikana kwa order. Bei ya tray moja ni elfu kumi tu(10,000tsh) kwa ajili ya kula na elfu kumi na...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
bei ni laki nne
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Back
Top Bottom