Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

salamu wakuu! wapi naweza kupata tv ya flat ambayo ni touch screen, na nyingine yenye uwezo wa kugawanya picha tatu au nne tofauti at the same time niwe naziona, eg nina receiver zaidi ya moja na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama taarifa inavyojieleza ,nahitaji boxer kwa one million tuu, plz kama unayo piga 0769112316
0 Reactions
3 Replies
688 Views
IKO KATIKA HALI NZURI SANA. NAPATIKANA DSM. NICHECK KWA: : 0673 646381 AU 0757 646381
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Call: 0765961152 - Nipo Karibu na kituo cha daladala cha Taifa Rangi: Nyeupe na Nyeusi zimebaki chache High quality sound Bei poa
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Pata GB 5 za halotel za kutumia wiki nzima kwa 4000/= Njoo Pm. Nb: Malipo ni kabla ya huduma,unalipa pesa unatuma namba unaunganishwa sababu ya kufanya hivi ni kuwa niliwahi kuleta offer hii kwa...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Kichwa kinajieleza kwa yeyote atakae kuwa anauza used boxer ila iwe bado na kiwango kwa bei ya one million tuu ,popote pale ulipo nitaifuata, NB ni boxer tuu na si vinginevyo. Piga 0769112316
0 Reactions
1 Replies
545 Views
Sisi ni wataalamu wa kutengeneza green house/high tunnels/screen house kutoka chuo kikuu cha SUA , structure zetu ni nzuri na bei nafuu za miti na chuma 8*15(3.4mil), 8*30(6.4mil), 10*30(6.6mil)...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wakuu...!! Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza. Kesho kuna nafasi 3 za lift kutoka Dom to Dar. Kwa yeyote atakae kua na uhitaji wa safari ya kesho, tafadhali akuje PM. Angalizo ...
3 Reactions
40 Replies
3K Views
Habari za mida hii wana jamii foroum naitwa ZAMZAM M DACHI jina la kibiashara ig page ni zababy_dachi_leather ni mjasilia mali wa bidha za ngoz kama walet sandoz za culture na mikanda ya...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Nataka nijenge Five ghorofa sijajua itanigharimu Milioni ngapi za Kitanzania!
1 Reactions
55 Replies
20K Views
Habari zenu waungwana, Naomba kujulishwa bei ya viti vya wagonjwa. Kiti kimoja kinauzwa kwa pesa ngapi za Tanzania kwa anayejuwa naomba anijulishe. Naomba msiuhamishe huu uzi kwani nahitaji...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Rangi yoyote.. pm bei kama unalo.
0 Reactions
1 Replies
655 Views
Dear Sir / Madam, Good Evening, PRETTL energy is a German company at more than 35 locations in over 25 countries in fully independent operations. We are currently looking for a business...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta photocopy machine, printer, na scanner used. Viwe katika hali nzuri alie tayari Kwa biashara tuwasiliane pm
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu mambo vipi Natafuta wale watu ambao huwa wanafanya kazi za kupulizia dawa ya kukausha magugu shambani Nina shamba kama la hekari tatu naitaji hiyo huduma Kama kuna mtu anajua then anipm
2 Reactions
1 Replies
818 Views
Habari wakuu, Hivi kwa hapa Dar Es Salaam bitapata wapi printer kama hii hapa chini?
0 Reactions
1 Replies
855 Views
Kwa wale wadau wetu wa mikoani...dar shinyanga.morogoro singida...napenda kuwataarifu MZIGO wa samaki(sangara) wanapatikana kwa bei nzuri kabisa ya 5300 kwa kilo. Weka oder yako sasa MZIGO...
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Huhitaji kubadili tiles au sinki lako kisa uchafu sugu. Kiboko ya kusafisha na kung'arisha marumaru, pamoja na masinki ya aina yote ni CORE CLEANING. Jipatie bidhaa ya core cleaning yenye ujazo...
0 Reactions
25 Replies
16K Views
Habari za mida hii wana jamii foroum naitwa ZAMZAM M DACHI jina la kibiashara ig page ni zababy_dachi_leather ni mjasilia mali wa bidha za ngoz kama walet sandoz za culture na mikanda ya kina...
1 Reactions
0 Replies
822 Views
heri ya mwakampya wajasiriamali wenzangu make najua ndo sehemu yetu hii ya kukutana. kama mada inavyosema hapo, mimi nina shida ya haraka sana na mzani mkubwa; wenye kupima kilo zaidi ya 100 na...
0 Reactions
1 Replies
773 Views
Back
Top Bottom