Samsung Earphone
20-20000 Hz Frequency Response
3.5 mm Connector
1.2 metre Cable Length
Nauza earphones za samsung kwa bei ya jumla na rejareja
Jumla 5000tsh
Rejareja 8000tsh
Call 0753063142...
Najua sio rahisi kupata bare land(eneo tupu)maeneo ya upanga ila kama kuna mtu anaweza kushawishi watu wenye maeneo upande(Nyumba)upande wa baharini naomba anicontact linahitajika eneo lenye...
SABUFA elfu hamsini, DRESSING TABLE (lina mwezi mmoja) laki na hamsini, MASOFA mawili laki mbili na nusu. Kwa mawasiliano ya haraka mudiduladula@gmail.com tupeane namba.
Gari aina ya Corolla Runx inauzwa,, imesajiliwa kwa namba DLD,,, bei ni 11M
Specificationa zake ni kama ifuatavyo,;
Version / Class ---Z AERO TOURER
Engine Code-----2ZZ
Engine...
Vilikua vinatumiwa na watoto vinauzwa na magodoro yake..pia utapewa na net yake ya chuma
Vitanda vyote ni vya chuma mpaka chaga ni chuma
Bei 440,000 haipungui
Picha njoo 0764767407
Habari.
Nyumba inapatikana Mikwambe-Kigamboni DSM, karibu na site ya mh. Ndugai (kitu maarufu).
Eneo limepimwa na ina hati tayari. ina eneo la skwea mita 801,
Nyumba ina vyumba viwili na master...
Mnitafute kwa namba 0625511737.
Pia kwa Mwenye Nyumba wanaotafuta wapangaji karibu ni sana. Mim ni Dalali wa kupangisha Nyumba na vyumba popote ndani ya Dar.
Hi,
Kihotel/mgahawa kinahitajika haraka mpanda,katavi.
Hata mwenye frem inayoweza/zinazoweza kuwa mgahawa/juice place.
Mwenye navyo tuwasiliane kwa pm
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.