Utajiri katika kilimo na Uncle Nelly farms

Utajiri katika kilimo na Uncle Nelly farms

sirajj johnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2017
Posts
1,554
Reaction score
868
Uncle Nelly farms ni jina linalotumika kuendeshea shughuli za kilimo hapa Tanzania,Tunapatika Mwanza kama Makao Makuu yetu,Ila shughuli zetu za kilimo tunaziendeshea ndani na nje ya Mwanza kwa sasa tumesha anza kuwekeza katika mikoa ya kigoma - muhogo,Tabora -mpunga,kagera-mahindi,na tumeanza katika mikoa hiyo kutokana na partners wetu kupendelea mikoa hiyo,ila sasa si mikoa hiyo tu Bali ata mikoa mingine kama morogoro,Mbeya,mpanda,Iringa na bagamoyo panapo jitokeza mtu mwenye utayari wa kulima na sisi tunaweza kuingia nae makubaliano ya kulima nae.

Sisi kama uncle Nelly farms, tunafanya kazi NA mtu yeyote yule mwenye utayari wa kulima haijarishi ni mwajiriwa au haja ajiriwa,pili tunawahusisha wataalamu na mashirika ya kilimo katika ulimaji wetu,tatu tunasimamia na kutoa taarifa sahihi kuhusiana na maendeleo ya Shamba tulilo wekeza na mshirika wetu kwa muda muafaka, NNE tunakuwa mstari wa mbele katika utafutaji wa soko wa zao husika Mara tu baada ya mavuno,tano kwa kushirikiana na wadau wa kilimo kutambua zao lipi lilimwe kwa wakati upi.

Tukishakubaliana na mshirika wetu tutaingia mkataba wa kuanza kazi utakao kuwa unamnufaisha kila mmoja.
Kwa mawasiliano
Piga 0769821340,
0719801962
0766195115
gta.masokotz@gmail.com
Sirajimsilanga55@gmail.com.
 
Safi sana
Tunaomba picha za project ambazo tayri mmefanya uko uliko sema.
 
Kwa hiyo kazi yenu ni kusimamia mashamba halafu mnagawana faida, au?
 
Waweza kuona shamba letu la mpunga lililopo Tabora tunaliandaa
075a876b89b7afc05b12ba506c5f64e4.jpg

dfd721619f50d1718d488b2db198adf1.jpg

b780e44186692b43fc347be5830651ff.jpg

3dcd2e95975dc2c46fa41d509f356ae2.jpg

Karibuni sana
 
Mkuu nikusifu wewe ni mchacharikaji sana.Deals zote wewe unafanya kuanzia udalali wa viwanja,kuagiza pikipiki kutoka Zanzibar,udalali wa magari,kampuni ya ujenzi, biashara ya asali mbichi yani kila mishe wewe umo

Halafu majina ni tofauti tofauti,Al Balwan,hapa napo Anko Nelly etc etc

Hongera sana chief[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu nikusifu wewe ni mchacharikaji sana.Deals zote wewe unafanya kuanzia udalali wa viwanja,kuagiza pikipiki kutoka Zanzibar,udalali wa magari,kampuni ya ujenzi, biashara ya asali mbichi yani kila mishe wewe umo

Halafu majina ni tofauti tofauti,Al Balwan,hapa napo Anko Nelly etc etc

Hongera sana chief[emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsante sana mkuu
 
Mkuu, kama hutojali hebu tupia Hapa sample ya mkataba wenu kabla ya kuanza kazi.
 
Back
Top Bottom