Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Acer minilaptop for sale Specifications: Ram 2gb Hard disk 300gb Battery life: 3hours Keybody needs to be replaced Price: 280000tsh
1 Reactions
1 Replies
693 Views
wakuu nahitaji sana apple cider vinegar brand kama hiyo kwenye picha. wapi inapatikana?
1 Reactions
37 Replies
14K Views
Habari ,kuna tender ya kusupply nyama ya nguruwe 300kg kila baada ya 2days at price 4500/kg moshi kilimanjaro Mtu yeyote mwenye uwezo kusupply kiasi icho au atleast 100kg anifwate pm
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu mwenye kujua bei ya nyanya kwa masoko ya dar es salaam yaani mabibo, ilala n.k au kama ww dalal tuwasiliane
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Asalaam. Tafadhali sana napenda kujua bei ya containers. Nataka kununua kadhaa. Haijalishi ni la ukubwa gani but nahitaji kujua naweza kuyapata wapi kwa bei poa. Shukran.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nauza pet dog huyo anayebweka price ya laki nne na nusu
0 Reactions
2 Replies
871 Views
Habari waungwana,kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo Juu,Nauza laptop ikiwa na specification zifuatazo BRAND: Dell Lattitude E-series, model:E5430 PROCESSOR:INTEL(R)CORE(TM) i3-2350M CPU...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Tunauza uyoga fresh hapa dar es salaam. Bei: Kilo 1 ni Tsh 8000 Delivery fee: Tsh 2000 Kwa anayehitaji uyoga fresh awasiliane nasi kupitia +255 656 214 678, 0786517320.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Salaam wakuu! Mwenye anayeuza mashine ya kuprint jersey au anafahamu upatikanaji wake naomba msaada ani-pm!
0 Reactions
1 Replies
719 Views
Mwalimu wa O Level na A LEVEL anapatikana Masomo Anaoyofundisha ni HISTORY na GEOGRAPHY
0 Reactions
3 Replies
764 Views
Wadau,naomba kujua bei ya vitunguu kwa Mombasa na soko lake kwa ujumla.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
free delivery popote tunakufikia pia mikoani tunatuma haraka unakufikia
0 Reactions
146 Replies
17K Views
Uncle Nelly farms ni jina linalotumika kuendeshea shughuli za kilimo hapa Tanzania,Tunapatika Mwanza kama Makao Makuu yetu,Ila shughuli zetu za kilimo tunaziendeshea ndani na nje ya Mwanza kwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Maeneo kati ya moshono na morombo nyumba yenye kuhitaji sebule,dinning,kitcheni na vyumba viwili master pamoja na public toilet moja..
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Naanzisha Uzi huu nkiwa na nia ya kutaka kujua na kuelimishwa kutoka kwa wasomi wa JF kuhusu SE PLATFORM ilivyo na utendaji wake. Je ni ya kweli? Mwanzilishi wake ni nani? Na lengo lake n NINI...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimekwama naiuza imetumika week moja...
1 Reactions
0 Replies
573 Views
Wakuu habari za wakati huu ni kwamba Nina shida na mwenye kujua au kufahamu zinapopatina hizi mashine pamoja na bei yake (total cost)
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans. Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi Karibu sana 0654919121 0758919121 0622060797 0683928358...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama unahitaji ni inbox
0 Reactions
2 Replies
594 Views
Back
Top Bottom