Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta Dereva, Dar es salaam. Awe anaishi Kawe, Mbezi au maeneo ya karibu na Mbezi Beach. Awe na leseni ambayo ipo hai na awe mzoefu wa kuendesha gari kwenye jiji la Makonda. Kazi ni ya...
2 Reactions
10 Replies
5K Views
wakuu vyuma vimekaza nauza bei chee king'amuzi cha startimes 25000 ni vile vya zamani ila sina remote nitaweka picha nikifika home 0657536080 tabata
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakubwa ,habarini za asubuhi,ninahitaji generator used la ukubwa wa 2 kvplz naombeni maelekezo kwa wakazi wa dar nitalipata wapi na bei zipoje?? Msaada tafadhari
0 Reactions
0 Replies
683 Views
Nyumba inauzwa inavyumba sita ipo mtoni mtongani mtaa wa msikiti mweupe M 58
1 Reactions
60 Replies
5K Views
hjgsa
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza. Simu ni NZIMA kabisa tatizo dogo lipo kwenye display ambapo kuna nyufa zinaonekana kwa mbali. Wahi sasa kwa muuzaji makini. Simu_0625518288 au...
0 Reactions
46 Replies
6K Views
kuna jamaa alileta uzi wake jana ana huduma ya 4gb kwa elfu tatu.Pata 4GB Za Internet Wiki Nzima Kwa 3000/= Tu. jana ameniunganisha imekubali wakuu .ni kweli nunueni nilimtumia namba japo...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Habari Wapi naweza kupata Pallet kwa Mwanza Na Gharama zitakuaje
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau nina shilingi laki moja na ninahitaji kitanda cha mbao size hiyo juu..kwa bei hiyo najua kitakuwa used maana kipya sitapata.. Lakini pia nahitaji dressing table kwa maana kuwa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
  • Poll Poll
Baada ya Maamuzi ya Serikali Kuhamia Dodoma, Domalyn Classic Salon wameingia Dodoma baada ya kutoa huduma Dar es Salaam. Akina dada na akina baba wanaohitaji kujiweka safi kuonekana vyema kunako...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Hello guys, any of you know a company or someone for web hosting service? I need one very quickly. Call 0787 998966
0 Reactions
3 Replies
1K Views
ENEO ; kinyerez kituo kinaitwa garage karibu na flamingo bar. Karibu na barabara. POTENTIAL: Njia kuu ya magari makubwa,soko kuu la matunda, mradi wa umeme kinyerezi na mengine mengi. UKUBWA ...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ipo katika hal nzur inatumia solar power bei ni Tshs milioni moja Mawasiliano 0789 885802
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nauza dish la startimes na kingamuz chake nipo mbezi mwisho dar es salaam .mawasiliano 0715831272 au 0757896429
0 Reactions
4 Replies
915 Views
Natafuta cable kama hii hapa chini kwenye picha. If you have it tuchekiane PM
0 Reactions
0 Replies
703 Views
nauza bb paspot 32 gb haina tatzo lolote,nashida na pesa 0756664797.
0 Reactions
0 Replies
548 Views
KUJUA HERUFI YA JINA LAKO LIPO WAPI KATIKA MVUTO WA KINYOTA .Naam ni yule yule kijana mwenye kipaji cha kuwaadhibu majini vile atakavyo mwenye uwezo wa kutoa majini vichwani mwa watu na...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari Friends. Natafuta infinix zero 5 au infinix zero 5 pro Niko dodoma. Muuzaji awe kokote,mkoa sio kigezo 0767833496 0658605358
0 Reactions
54 Replies
7K Views
Samahani waungwana naombeni msaada wenu juu ya wapi tawapata mbuzi wa Maziwa na wastani wake wa bei kwa majike na madume
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nipo tegeta naitaji kwenda posta samora tra .kama kuna mtu ana uber tax naitaji huduma now weka namba nikupigie
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom