Drop namba yako in box niku add kwa group turahisishe maisha lakini pia tufahamiane.
Kumbuka baadhi yenu tayari nishawaunga
Lakini pia mamkuki msijisumbue nawajua kwa sababu madalali idadi yenu...
Friji lilitumika kwa mwezi mmoja kwenye biashara ya duka. Baada ya hapo, likakaa Bila kutuma Na hakuna ndoto tena ya kufungua biashara ya vinywani.
Friji liko DSM linafanya kazi vizuri sana.
Bei...
Unalipia shamba maana sina uwezo wa kuleta mzigo Dar.
Nataka buyer wa kuchukua kuanzia gunia 1,000 kwa wakati mmoja.
Bei ni 70,000/= gunia.
Tel No:0659818714
Nina computer acer imekufa keyboard tuu
Naiuza kwa 250k..
Mawasiliano
0718274828..
Nipo dar
Kwa ambaye anataka nimuuzie kwa vifaa vyake anakaribishwa pia
Umaridadi uficha mengi, nukia kijanja na perfume classic kwa bei ya kutupa, kwa perfume za jumla na rejareja kwa perfume zifuatazo nione DM au piga 0628964939...
Habari ,kuna tender ya kusupply nyama ya nguruwe 300kg kila baada ya 2days at price 4500/kg moshi kilimanjaro
Mtu yeyote mwenye uwezo kusupply kiasi icho au atleast 100kg anifwate pm
Asalaam. Tafadhali sana napenda kujua bei ya containers. Nataka kununua kadhaa. Haijalishi ni la ukubwa gani but nahitaji kujua naweza kuyapata wapi kwa bei poa. Shukran.
Habari waungwana,kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo Juu,Nauza laptop ikiwa na specification zifuatazo
BRAND: Dell Lattitude E-series, model:E5430
PROCESSOR:INTEL(R)CORE(TM) i3-2350M CPU...
Tunauza uyoga fresh hapa dar es salaam.
Bei:
Kilo 1 ni Tsh 8000
Delivery fee: Tsh 2000
Kwa anayehitaji uyoga fresh awasiliane nasi kupitia +255 656 214 678, 0786517320.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.