Pata visanduku vya huduma ya kwanza (First Aid Kits) na muongozo wa matumizi yake kwa bei nzuri zaidi kwako.
Hizi zimetengenezwa hapa hapa Tanzania, Fahari yetu watanzania.
Piga 0719326693 au...
Habari wakuu.Mwenye Dashboard au Mwenye Uwezo wa Kunisaidia Sehemu Nitaweza Kupata Dashboard Ya Mitsubish pajero.Zile Toleo ya Kwanza.
BEI tutaelewana.
habari wana jf, simu tajwa hapo juu inauzwa kwa shillingi laki tano na nusu simu ina mwezi mmoja tangu inunuliwe ina chaja yake pamoja na Ear phone zake kwa mawasiliano 0625 576082 nipo Dar es...
Ni laptop nzuri na za kisasa kabisa za kutach kwa kidole na peni,
Kama unavyoweza kuziona hapa chini.
Bei yake ni tsh 250,000/=
Pia tuna laptop za hp, toshiba, dell, lenovo n.k
Kwa mawasiliano...
lengo lakuhitaji campuni inahusika nauchimbaji wa copa ninalo eneo lenye madini hayo ila sina uwezo wakulichimba kwasaaa nimeona bora nitafute mwenye pesa tukae mezani tukubaliane ambae yuko...
SABWOOFER with
Radio station
USB
,mmc port
Bluetooth
Tsh 300,000
0714417739
Tunapatikana kkoo msimbaz na China Plaza FL ya pili ukiagza tunakuletea ulipo mda wowote sisi ni huduma kwanza...
Ndg wadau, tunahitaji Eneo lenye ukubwa usio pungua heka 4-6 litazame Barabara kuu. Ikiwa halitazami barabara basi lisiwe umbali mrefu kutoka barabara kubwa kuingia ndani. 0766111212 piga no hii
Habari wana JF mm nauliza yeyote aliko anaejua bei ya computer aina ya APPLE MTUMBA NA MPYA anijuze na ile ya bei ya chini kabisa anisaidie nahitaji kupata hyo
Mbarikiwe
Chumba self na sebule inapangishwa maeneo ya Mikocheni B jirani na shule ya Academic. Kodi 180,000/= kwa mwezi na malipo ni kuanzia miezi sita.
Mawasiliano: 0744218415
Mmiliki sio Dalali..
Wadau nauza hi I tecno nna shida kidogo na pesa, na nnaiuza Tsh 50,000/-
Napatikana mwanza ... Nichek whatsapp 0746510577
Ina ram 1GB
ROM 8GB
Imetumika lakini ni kama mpyaa
Habari zenu wapendwa, kwa wale wenye matatizo ya ngozi ya uso mnakaribishwa mjifunze na mjipatie product kwa gharama nafuu.
Kwa wale ambao ngozi zao zimeathirika kwa kutumia vipodozi vyenye...
NAUZA MASHINE YA BISI, NIPO VINGUNGUTI, NI YANGU MWENYEWE C YA WIZI,
IMETUMIKA KWA MIEZI 5 TU.
BEI 250,000/=
PIGA- 0755803200/0658925969.
KARIBUNI.............
Specification:
Name: Popcorn...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu! Nahitaji Kiwanja katika Kata ya Mzumbe wilaya ya Mvomero Mkoa wa Morogoro kwa ajili ya ujenzi wa makazi! Bei isiwe zaidi ya milioni moja na laki...
Habari.
Kama heading inavyo someka, nipo mwanza na nnahtaj kupata nyumba ambayo nitailipia pesa kidogo kidogo (Ya mkopo)..
Iwe ni ya kisasa zaidi ...
Nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.