Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza samsung j7 prime simu sawa na mpya cjaitumia sanaa Internal storage 32 gb Ipo poa kila kitu.. Finger print ipo safi pia. Bei 400000 tyuu. Nichek kwa izi namba 0716026555 na 0685 436 107
0 Reactions
0 Replies
2K Views
*Mzigo una mwezi tokea niununue, ni toleo jipya kabisa la Tecno Mobile *sababu za kuuza ni matatizo yangu binafsi *rangi yake_ blue_ flat shape *finger touch sensor *bila kusahau receipt na...
1 Reactions
24 Replies
7K Views
Ni kubwa na nzuri ila ina tatizo dogo tu haizunguuuki,,,, bei ef 20, kwa atakae hitaji? Nitafute namb hii: 0766166483. Nipo Dar es salaam
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Nahitaji mayai ya kwele,muuzaji anidm ccontacts
0 Reactions
4 Replies
856 Views
Eneo la kufugia lenye banda kubwa la design ya mabanzi na mabati,umeme wa solar na Maji ya kupump tayari kwenye tank la 5000ltr lipo tayari kwa kukodishwa kwa kodi ya 350,000 kwa mwezi au kuuzwa...
0 Reactions
1 Replies
828 Views
Kwa anayefahamu bei ya kawaida ya kuku Aina hii.
0 Reactions
0 Replies
925 Views
Kwa wale wanaopenda kuku nina majogoo saba machotara nawauza kila mmoja 25000 niko kibamba kwa mangi wanafaa kwa kuliwa a kufugwa wana kilo mbili na nusu kila mmoja karibuni 0765114158
0 Reactions
0 Replies
566 Views
Habari zenu waungwana natafuta mteja wa karafuu zinapatika kwa wingi kama unaitaji ni pm
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ilianza kama majaribio, Ila watu wameipokea vizuri. Biashara Network ina dalili za kuwa mtandao mkubwa Tanzania Unaokutanisha watu, Biashara na Wateja pamoja, Kujifunza na kushiriki vitu...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Nipo Dar,Kariakoo Pc iwe ni ya 200,000 tu Vigezo ni kuanzia 2gbRam kwa 300gb na kuendelea... Wasiliana nami sasa hivi 0753093869 nanunua mda hu wala sio kesho.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Iwe haina tatizo lolote.. nipo iringa na dodoma
0 Reactions
0 Replies
879 Views
UPCOMING EXAMS: Now available 1 May – 30 June 2017 Early registration deadline: 28 February 2017 Be recognized among the most-qualified and sought-after IS audit, control and security...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Imeshapangishwa
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Kwamahitaji yamilunda ya mlingoti na mlingo mahali popote Tanzania kutokea Njombe... 0625306720
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Husika na kichwa cha hapo juu nauza sm samsung s 5 imevunjika display kwa lugha nyepesi hakionyeshi kabisa ila ukipigiwa sm unaongea kama kawaida bei sh 75000 nipo dsm 0713091291
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wana Jf kama kichwa hapo juu nina Ipad ina icloud nahitaji mtu mwenye uwezo wa kuondoa hiyo icloud niko Mwanza, tafadhari kama upo nicheki tufanye kazi.
2 Reactions
22 Replies
2K Views
kama unaweza kutengeneza demo ya website ya dental clinic kwa kutumia wordpress na joomla. Sample sites Dentist in Bundoora | Bundoora Family Dental Clinic - Our Dental Clinic The Periodontist...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanaJF Natafuta ile minazi mifupi au miti ifananayo na minazi mifupi ya kupanda kwenye garden. Mwenye nayo anipe bei na mawasiliano yake.
0 Reactions
4 Replies
910 Views
Meza bei 500,000 Tsh ipo Mbezi Luis Pazia nzito, mita 1.5, zipo piece 6 zinafanana na zingine piece 4 zinafanana. Bei 30,000 tsh piece moja Zipo na bomba za pazia SOLD SOLD SOLD
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Back
Top Bottom