peter beilus
New Member
- Nov 16, 2017
- 4
- 1
Jamani naombeni kusaidiwa hiyo bajaji ntaipata wapi ? na kwa bei gani ?msaada wenu tafadhali
Nashukuru sana mkuuNenda nyerere Road opposite na Quality Motors
Hapana haiuzwi ila nauliza kuwa ninaweza ipata wapi kwa hapa bongo pia na kwa bei gan?Inauzwa au