Natafuta Kiwanja,Mzumbe Morogoro!

Natafuta Kiwanja,Mzumbe Morogoro!

Akida MALCOLM X

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2014
Posts
497
Reaction score
464
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu! Nahitaji Kiwanja katika Kata ya Mzumbe wilaya ya Mvomero Mkoa wa Morogoro kwa ajili ya ujenzi wa makazi! Bei isiwe zaidi ya milioni moja na laki mbili! Nawasilisha!
 
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu! Nahitaji Kiwanja katika Kata ya Mzumbe wilaya ya Mvomero Mkoa wa Morogoro kwa ajili ya ujenzi wa makazi! Bei isiwe zaidi ya milioni moja na laki mbili! Nawasilisha!
si ungeenda huko Mzumbe kwa madalali wakakuuzie hicho kiwanja au kama una washikaji waambie wakuulizie
 
Naishi mbali na Morogoro,i.e Kigoma! But niko interested kujenga Mzumbe! Mpaka nafanya hivi sina connection na mtu aliye Mzumbe
 
Unaweza ukapata maeneo ya Changarawe au Tangeni huko... Mzumbe bado hapaja jaa sana so uwezekano wa kupata eneo kwa pesa hiyo ni mkubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom