Nahitaji campuni inajihusisha na uchimbaji madini aina ya copa

Nahitaji campuni inajihusisha na uchimbaji madini aina ya copa

Benjamin mathayo

Senior Member
Joined
Mar 6, 2016
Posts
112
Reaction score
30
lengo lakuhitaji campuni inahusika nauchimbaji wa copa ninalo eneo lenye madini hayo ila sina uwezo wakulichimba kwasaaa nimeona bora nitafute mwenye pesa tukae mezani tukubaliane ambae yuko tayari tuwasiliane kwa hii 0673673158

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_20170817_170924.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda zambia wapo kibao wapelekee sample waje muchimbe nao...ila naona kama muda mfupi ujao utanyanganywa hicho kitalu na serikali na utasikia muwekezaji toka marekani au canada anapewa aanze kuvhimba.
This is africa banaaaa

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
 
mmesha anza kuchimba...? eneo lako lina ukubwa gani...?
 
Unataka kuchimba localy au!!
Hili kuita campuni kabisa unatakiwa ujihakikishie investment utakayoweka hapo itarudi, laa sivyo utaumia mkuu.

Sisi watu wa geology tunakuwa na low grade medium na high grade. Inawezekana ni vein tu imepita.

Fanya technical analysis ya eneo kabla ya kuweka nguvu. Usije lia bure
 
hayo yanayo ng'aa ni sulfide minerals. ya weza kuwa pyrite, asenopyrite etc. but not economical value

Nadhani ni pyrite pia.. nugget sio nzuri itampotosha kuita mashine na kulia bure.
 
Mkuu,fanya analysis ya eneo lako before hujaingia katika hayo mambo means jipange na tafuta kampuni/taasisi za serikali au watu binafsi wakafanyie analysis ili uone distribution + concentration ya minerals katika eneo lako na ndio uone kama ni reasonable au sio
 
Niambie nije kuchukua mawe ya kuweka bustanini kwangu kwani watsalamu wanasema no economic value mi nayapenda kwa bustani na kwa kokoto
 
Back
Top Bottom