Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Inauzwa 15.ml Engine diesel Km 117216 Picha zinakuja
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Emeo lipo salasala kinzudi kwa jina jingine usukumani Bei Tsh 8.5m Bei ina maongezi Mawasiliano. 0756060183
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Amiba ni ugonjwa gani? ni ugojwa ambao husababishwa na bakteria aitwaye Ectamoeba Histolika ambaye huishi katika kinyesi cha mwanadamu. Ugonjwa huu huweza kuhathiri hadi uti wa mgongo pamoja na...
1 Reactions
2 Replies
23K Views
Achana na kilimo cha kutegemea mvua Sasa nawaletea GREENHOUSEDrip irrigation , drip tapes na accessories zake na reserve tank la lita 3500 kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji kisicho na stress...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Asalam alaykum ndugu zangu, Narudi tena baada ya kutopata mafanikio katika uzi wa kwanza. Bila kuathiri maelezo katika kichwa cha habari hapo juu. Nahitaji kununua gari kwaajili ya abiria.Gari...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Naulizia universal router anayeuza wana ndugu JF
0 Reactions
0 Replies
459 Views
Nauza Softwears hizi zikiwa full version na kufanya kazi kwa kila controller kwa 100% Kwa MAC/WINDOWS pia unaweza kurecord mixing zako MP4 HD 1080(Full HD) pia Zinakua na skin 3D zenye mashine za...
0 Reactions
0 Replies
46K Views
nyumba inapangishwa arusha sanawari. Ni nyumba inayofaa kwa biashara kama dispensary au hotel au day care au kwa kulala. ina vyumba viwili, sebule, jiko, choo, bafu na store na eneo la wazi. sio...
0 Reactions
1 Replies
711 Views
wakuu habari zenu, naitaji kununua gari aina ya fuso tani tano au kumi used, kwa yoyote mwenyenalo tafadhari anipm
0 Reactions
11 Replies
11K Views
karibuuni sana kujipatia bidhaa zilizotengenezwa na mitishamba asilia za kupunguza tumbo na unene.. pia kwa wale wanaosumbuliwa na upungufu wa nguvu za kiume tiba ipo kwa bei nafuu
0 Reactions
41 Replies
7K Views
Kwa Tsh 9,900/-Joto sio tatizo tena,kiyoyozi kiganjani mwako;Feni unayoweza ichomeka katika simu yako na ikakupepea.Mawasiliano:0688304874
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Samsung a5 clean gb 16 Ram 2gb 4g network Bei: 350,000/= 0764 876 888 DSM
0 Reactions
4 Replies
844 Views
Wanahitajika maafisa mikopo mikoa ya Dar na Arusha VIGEZO Uwe na uwezo mzuri wa kuongea na kujieleza kwa kujiamini mbele za watu wengi. ELIMU Uwe umemaliza kidato cha nne MSHAHARA Tunalipa...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Wasalaam, mashine ya kukamua juisi ya miwa kwa kutumia umeme, inauzwa sh. Laki saba tu, ipo Sinza palestina. imetumika miezi miwili tu, kwa mawasiliano zaidi piga 0714264484.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Jipatie gari maarufu kwa jina la kirikuu(hijet) kwa bei chee kabisa ya kiasi kisichopungua milioni 6.. Linapatikana Dodoma... Mawasiliano:0718274828
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Bags and shoes for sale"
1 Reactions
4 Replies
861 Views
Wakuu habari zenu , Natafuta laini ya tigopesa kama kuna anayeuza tuwasiliane pm
0 Reactions
1 Replies
732 Views
nyumba inapangishwa arusha sanawari. Ni nyumba inayofaa kwa biashara kama dispensary au hotel au day care au kwa kulala. ina vyumba viwili, sebule, jiko, choo, bafu na store na eneo la wazi. sio...
0 Reactions
0 Replies
713 Views
Huduma hii inagharimu tzs 55,000/ = Unapata free hosting mwaka mzima Tunahamisha post zako zote kutoka blogger kuja WordPress Unapata free domain pamoja na blog design. Wahi sasa ofa ni ya mda...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
*Slaus Technologies Tz1 ONLINE EDUCATION* WANAKULETEA OFA ZIFUATAZO... [emoji432] *TUNAFUNDISHA JINSI YA KUDISGN BLOG NA WEBSITE* na njinsi ya kukulipa ukiwa na blog na Youtube Channel kwa *Tsh...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom