Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu wanajf!! Niende moja kwa moja kwenye mjadala,,niseme tu ukweli mimi ni mpenzi wa Mungu ,watu wa Tanzania tuna tatizo la kunuka kwapa na kinywa nasema nchi yangu maana zingine sijuii...
10 Reactions
254 Replies
17K Views
Habari zenu wakuu: Karibuni kujifunza kutengeneza mfuta ya kupakaa Aina za mafuta hayo Mafuta ya kuondo chunusi Mafuta ya kungarisha ngozi Mafuta ya kuweka rangi moja mwili mzima bira kuchubua...
2 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari. Natafuta mtengeneza blender yenye uwezo wa ku kamua na kutengeneza juice Lita 20 au 15 kwa mara moja. Najua SIDO wanazo lakini bei zao kidogo zipo juu. Tuwasiliane kwa mdau anayeweza...
0 Reactions
1 Replies
771 Views
Habari wanajamvi. Natafuta sehemu naweza kununua vifaa kama uzi, sindano na kapeti znazotumika kutengeneza mazuria kwa bei ya jumla hapa dsm, mombasa au zanzibar. Natanguliza shukrani Sent using...
1 Reactions
8 Replies
14K Views
Kama kichwa Cha habari kinavyosema ndugu zangu tupo tuna company ya outside cartering service pia tuna out source restaurant na kufanya function za nje , kama meeting ,harusi, birthday,msimba na...
0 Reactions
2 Replies
834 Views
Kwa wafugaji wa kuku njoo pm kuku bora kabisa aina ya kuroiler wanapatikana na ushauri wa kitaalam unapatikana bure kabisa ni kuku chotara wa mayai na pia ni wazuri na watamu sana kwa...
0 Reactions
2 Replies
994 Views
Habari yenu wadau wa jf Naomba mnisaidie, natafuta mbegu nzuri ya alizeti na bei yake niko manyara
0 Reactions
2 Replies
2K Views
SOLD SOLD SOLD
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wana jf kwa yeyote mwenye uelewa kuhusu dawa ya kupulizia shambani kuua magugu naomba anijuze. Ni dawa aina gani inafaa kutumika (kwenye shamba linalotarajiwa kupandwa legumes), kiwango cha...
0 Reactions
7 Replies
14K Views
niaje... specs.. screen: 3.5 inche camera: back: 5 megapixel front: 0.3 megapixel os : android 4.2 white in colour.. bei: 120000 mawasiliano:0765050591
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Moja ya mambo muhimu katika ukuwaji wa biashara ni utunzaji makini wa kumbukumbu za biashara yako, kuanzia mauzo, matumizi, taarifa za stock uliyonayo, taarifa za madeni ya wateja, na repoti...
0 Reactions
0 Replies
681 Views
Tahadhari sitaki gari za mikoani, sitaki vigari vyenu vya kiboya hivi sijui vits,staret,paso, pote, sijui takataka gani nataka gari kidogo yenye ahueni na inayoweza kusafiri. Namba siyo issue ila...
3 Reactions
87 Replies
9K Views
PASI YA KISASA KABISA WARRANT MWAKA MMOJA BEI:50000 MICROWAVE OVEN Tsh :200,000 Contact :0714417739 /0763251378 /"]www.jamiiforums.com/mobile-gallery/c46077d8140667ecfa88c9657cd55c2a.jpg[/IMG]
0 Reactions
0 Replies
783 Views
Kama tangazo lilivyo kama una huo mzigo njoo hapa tufanye biashara Kwa bei nafuu sio bei ya dukani tena Iwe katika hali nzuri Nipo dar
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana Jf. Natafuta nyumba ya kupanga maeneo yafuatayo -Kimara -Mbezi zote -Africana mpaka bunju -Goba Budget yangu maximum ni 250,000/= Mwenye nyumba maeneo hayo aje Pm yutajenge.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
SOLD
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari zenu wajasiriamali. Natafuta chain saw ya kukodisha kwaajili ya kukatia miti shambani kwangu. Nipo dar lkn nitafanyia kazi ya kukata miti Mkata, Handeni Tanga. Kwa anaeweza kuniuzia pia...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau wajf. Kama kuna boss yeyote au unamfahamu mtu mwenye bajaji ya kazi nahitaji ili nifanye kazi nipo full nikiwa na leseni na mzoefu wa hii kazi. Nawakirisha
0 Reactions
2 Replies
668 Views
Wakuu habari zenu ,nina milion 3 natafuta gari ndogo ya kukatia msele hapa mjini Msaada please
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom