Pata Elimu ya kufuga Kuku

Aman Ng'oma

JF-Expert Member
Nov 8, 2011
954
510
Kutokana na shauku kubwa ya watu kutaka kufanya mradi wa ufugaji wa kuku kwa ajili ya kujiongezea kipato nimeona niendeshe mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo wafugaji na watu wote wenye nia ya kutaka kufanya mradi wa ufugaji wa kuku kama kazi.

Mafunzo haya ni ya siku tatu. Yataanza rasmi siku ya jumatano tarehe 15/11/2017 hadi 17/11/2017. Ni mafunzo yatakayotolewa kwa njia ya Whatsap kwa ada ya tsh 3000 tu.

Tutamsoma kuku kwa undani kabisa. Tutaangalia mnyororo mzima wa thamani katika biashara hii ya ufugaji wa kuku. Tutaangazia changamoto mbalimbali. Hakuna kitu kitakachoachwa bila kufundishwa. Kuanzia Magonjwa, chakula, Uandaaji wa malighafi mbalimbali za kutengenezea chakula na uchanganyaji wake, namna ya kuanzisha mradi wa utotoleshaji wa vifaranga, utunzaji wa makundi mbalimbali ya kuku, namna ya kudhibiti vifo, Dawa salama za kuku, namna ya utoaji wa chanjo, Namna ya ujengaji wa mabanda bora ya kuku, masoko na mambo mengine mengi. Itatolewa pia elimu ya vitendo ili kuongeza uelewa wa wafugaji.

Halikadhalika kutakuwa nafasi pana ya kuuliza maswali yatakayojibiwa kwa ustadi mkubwa. Kwahiyo hii ni fursa kwako wewe mfugaji au mdau unayetaka kuanzisha mradi wa ufugaji wa kuku. Kama ulikuwa na jambo lolote lililokutatiza kwa muda mrefu kuhusu ufugaji huu wa kuku basi hapa ni mahali pake pa kupata ufumbuzi. Mwisho wa mafunzo haya, kitabu cha mwongozo wa ufugaji bora wa kuku soft copy kitatolewa kwa mchango wa shilingi elfu kumi tu ni kitabu kizuri sana si cha kukosa kama unataka kufanya mradi wa ufugaji kuku wenye tija.

Ufugaji wenye tija unaanzia kwenye maarifa sahihi. Usifuge kuku kwa kuwa umemwona fulani anafuga, fuga kuku baada ya kupata elimu sahihi. Ufugaji wa kuku bila elimu ni pasua kichwa.

Kama utahitaji kujiunga na kundi la *PATA ELIMU FUGA KUKU* tafadhali wasiliana nami kupitia namba 0767989713 au 0715989713 ili nikupatie namba utakayofanyia malipo yako.

Mara baada ya kukamilisha malipo, nitakuunga rasmi kwenye Group hilo la *PATA ELIMU FUGA KUKU*

Mafunzo haya yataendeshwa na Ndugu Aman Ng'oma aliyebobea na kuwajua vizuri Kuku. Bwana Ng'oma ni Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Kampuni ya Kinasoru East Africa Tanzania Ltd. Ndugu Ng'oma kitaaluma yeye ni afisa Mifugo, Mchumi Kilimo na Biashara, na pia Mtu wa Miradi. Ndugu Ng'oma ana Cert. Animal Health and Prod., Dip. Animal Health, BSc Agric.Eco.&Agr and Post Grad. Dip. Project plan.&Mgt.

Wote mnakaribishwe kwenye mafunzo haya muhimu na ya aina yake kuwahi kufanyika.

*Tafadhali saidia kushare*
 
Kutokana na shauku kubwa ya watu kutaka kufanya mradi wa ufugaji wa kuku kwa ajili ya kujiongezea kipato nimeona niendeshe mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo wafugaji na watu wote wenye nia ya kutaka kufanya mradi wa ufugaji wa kuku kama kazi.

Mafunzo haya ni ya siku tatu. Yataanza rasmi siku ya jumatano tarehe 15/11/2017 hadi 17/11/2017. Ni mafunzo yatakayotolewa kwa njia ya Whatsap kwa ada ya tsh 3000 tu.

Tutamsoma kuku kwa undani kabisa. Tutaangalia mnyororo mzima wa thamani katika biashara hii ya ufugaji wa kuku. Tutaangazia changamoto mbalimbali. Hakuna kitu kitakachoachwa bila kufundishwa. Kuanzia Magonjwa, chakula, Uandaaji wa malighafi mbalimbali za kutengenezea chakula na uchanganyaji wake, namna ya kuanzisha mradi wa utotoleshaji wa vifaranga, utunzaji wa makundi mbalimbali ya kuku, namna ya kudhibiti vifo, Dawa salama za kuku, namna ya utoaji wa chanjo, Namna ya ujengaji wa mabanda bora ya kuku, masoko na mambo mengine mengi. Itatolewa pia elimu ya vitendo ili kuongeza uelewa wa wafugaji.

Halikadhalika kutakuwa nafasi pana ya kuuliza maswali yatakayojibiwa kwa ustadi mkubwa. Kwahiyo hii ni fursa kwako wewe mfugaji au mdau unayetaka kuanzisha mradi wa ufugaji wa kuku. Kama ulikuwa na jambo lolote lililokutatiza kwa muda mrefu kuhusu ufugaji huu wa kuku basi hapa ni mahali pake pa kupata ufumbuzi. Mwisho wa mafunzo haya, kitabu cha mwongozo wa ufugaji bora wa kuku soft copy kitatolewa kwa mchango wa shilingi elfu kumi tu ni kitabu kizuri sana si cha kukosa kama unataka kufanya mradi wa ufugaji kuku wenye tija.

Ufugaji wenye tija unaanzia kwenye maarifa sahihi. Usifuge kuku kwa kuwa umemwona fulani anafuga, fuga kuku baada ya kupata elimu sahihi. Ufugaji wa kuku bila elimu ni pasua kichwa.

Kama utahitaji kujiunga na kundi la *PATA ELIMU FUGA KUKU* tafadhali wasiliana nami kupitia namba 0767989713 au 0715989713 ili nikupatie namba utakayofanyia malipo yako.

Mara baada ya kukamilisha malipo, nitakuunga rasmi kwenye Group hilo la *PATA ELIMU FUGA KUKU*

Mafunzo haya yataendeshwa na Ndugu Aman Ng'oma aliyebobea na kuwajua vizuri Kuku. Bwana Ng'oma ni Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Kampuni ya Kinasoru East Africa Tanzania Ltd. Ndugu Ng'oma kitaaluma yeye ni afisa Mifugo, Mchumi Kilimo na Biashara, na pia Mtu wa Miradi. Ndugu Ng'oma ana Cert. Animal Health and Prod., Dip. Animal Health, BSc Agric.Eco.&Agr and Post Grad. Dip. Project plan.&Mgt.

Wote mnakaribishwe kwenye mafunzo haya muhimu na ya aina yake kuwahi kufanyika.

*Tafadhali saidia kushare*
Malipo tena.. Ngoja waje
 
*ANDAA DAFTARI, ANDAA KALAMU JIUNGE KWENYE GROUP LA WHATSAP LA "PATA ELIMU FUGA KUKU" UONE TOFAUTI*

*Pata Elimu Fuga Kuku* ni kundi jipya la Whatsap lenye lengo la kutoa elimu kabambe na ya aina yake ya namna bora na yenye tija ya kuendesha mradi wa ufugaji wa kuku.

Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa mfugaji wa kuku anapata elimu sahihi itakayomsaidia kuendesha mradi wa ufugaji wa kuku kwa faida. Kutokana nafasi niliyonayo ya kuwa kwenye tasnia hii ya kuku kwa muda mrefu kama mtaalamu na mzoefu, nina nambo mengi ya msingi ambayo naamini mfugaji akiyapata yatamsaidia kwa kiwango kikubwa kuongeza ujuzi katika ufugaji wake. Hakuna atakayejuta kwa kushiriki darasa langu.

Natambua katika ufugaji wa kuku kuna changamoto nyingi lakini kubwa ni vifo vya ghafla vya kuku, kutamalaki kwa magonjwa, utagaji usiyoridhisha, chakula kutokidhi viwango na bei yake kuwa juu, tija ndogo katika ufugaji, kukithiri kwa matumizi ya dawa, gharama za uendeshaji wa mradi kuwa juu nk

Mradi wa ufugaji wa kuku si mradi rahisi kama ambavyo watu wengi wanadhani. Naamini waliyowahi na wanaofuga kuku wanalijua hili. Ufugaji wa kuku ni tofauti kidogo na ilivyo ufugaji wa wanyama wengine wenye miguu minne. Kuku anapoumwa anahitaji apate tiba haraka. Na tiba hiyo haiitaji kubahatisha. Lazima ugonjwa ujulikane, ujue pia dawa halisi. Vinginevyo utaishia kulia na kupata hasara kila siku wakati wenzako wakipiga pesa kupitia ufugaji huo huo wa kuku. Asikuambie mtu, kuku wanapokufa inauma sana kama una moyo mwepesi lazima Pressure ikushike hasa kama pesa iliyotumika kuanzishia mradi ulikuwa umeikopa.

Kufugaji kuku bila kuwa na elimu ni sawa na kutaka kujitumbukiza kwenye shimo huku ukijua wazi madhara yake. Kuku wana kawaida ya kubadirika badirika. Unaweza ukawaona leo wazima lakini si ajabu baada ya muda mfupi ukashangaa wakaanza kuumwa na wanapoumwa haichukui muda wanaanza kufa mara moja.

Vifo vinapotokea, mapigo ya moyo yataanza kukupanda, jasho litakutoka na hata usingizi utashindwa kulala. Mawazo mengi yatakujaa. Utawaza hasara unayoipata kwa kuwapoteza kuku wako.

Kwa kuona hili nimeamua kuanzisha mafunzo haya maalumu kwa njia ya whatsap yatakayoendeshwa kwa siku tatu kuanzia tarehe 15/11/2017 hadi 17/11/2017 ili niweze kutoa elimu yangu kwa watanzania wenzangu kwa gharama ndogo kabisa ya shilingi elfu tatu tu ili kuwangozea maarifa wafugaji na wale wote wenye lengo la kutaka kufanya mradi wa ufugaji wa kuku kama kazi.

Kuku wanahitaji uangalifu wa hali ya juu. Wafugaji wengi wanakosea sana. Unakuta anaanzisha mradi wa ufugaji wa kuku, halafu anamwachia mfanyakazi wake auendeshe. Ukimtazama mfanyakazi huyo, unakuta hajawahi kupata mafunzo ya aina yoyote hivyo anakuwa hajua hata zile ABC za ufugaji wa kuku matokeo yake mradi hauwi endelevu.

Kwa msingi huo, kama unamfanyakazi wako anayekusaidia kwenye shughuli za uangalizi wa shamba lako si vibaya naye ukamlipia ada ya shilingi elfu tatu ili aweze kupata mafunzo haya muhimu, mafunzo yatakayo mwongozea maarifa na stadi za kuwahudimia kuku wako. Halikadhalika si vibaya kama utaamua hata mke wako naye ukamlipia ili aweze kushiriki na kunufaika na mafunzo hayo maridhawa.

Maarifa siku zote hayaozi. Tunawahamasisha watumishi mbalimbali na hata wastaafu nao waweze kushiriki katika mafunzo hayo ili kujiongezea maarifa yatakayowawezesha kutekekeza mradi wa ufugaji wa kuku kwa weledi.

Kama utahitaji kujiunga na kundi la *PATA ELIMU FUGA KUKU* tafadhali wasiliana nami kwa njia ya ujumbe mfupi kupitia namba 0767989713 au 0715989713 ili nikupatie namba utakayofanyia malipo yako.

Mara baada ya kukamilisha malipo, nitakuunga rasmi kwenye Group hilo la *PATA ELIMU FUGA KUKU*

Mafunzo haya yataendeshwa na Ndugu Aman Ng'oma aliyebobea na kuwajua vizuri Kuku. Bwana Ng'oma ni Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Kampuni ya Kinasoru East Africa Tanzania Ltd. Ndugu Ng'oma kitaaluma yeye ni afisa Mifugo, Mchumi Kilimo na Biashara, na pia Mtu wa Miradi. Ndugu Ng'oma ana Cert. Animal Health and Prod., Dip. Animal Health, BSc Agric.Eco.&Agr and Post Grad. Dip. Project plan.&Mgt.

Wote mnakaribishwe kwenye mafunzo haya muhimu na ya aina yake kuwahi kufanyika.

*Tafadhali saidia kushare*
 
*ANDAA DAFTARI, ANDAA KALAMU JIUNGE KWENYE GROUP LA WHATSAP LA "PATA ELIMU FUGA KUKU" UONE TOFAUTI*

*Pata Elimu Fuga Kuku* ni kundi jipya la Whatsap lenye lengo la kutoa elimu kabambe na ya aina yake ya namna bora na yenye tija ya kuendesha mradi wa ufugaji wa kuku.

Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa mfugaji wa kuku anapata elimu sahihi itakayomsaidia kuendesha mradi wa ufugaji wa kuku kwa faida. Kutokana nafasi niliyonayo ya kuwa kwenye tasnia hii ya kuku kwa muda mrefu kama mtaalamu na mzoefu, nina nambo mengi ya msingi ambayo naamini mfugaji akiyapata yatamsaidia kwa kiwango kikubwa kuongeza ujuzi katika ufugaji wake. Hakuna atakayejuta kwa kushiriki darasa langu.

Natambua katika ufugaji wa kuku kuna changamoto nyingi lakini kubwa ni vifo vya ghafla vya kuku, kutamalaki kwa magonjwa, utagaji usiyoridhisha, chakula kutokidhi viwango na bei yake kuwa juu, tija ndogo katika ufugaji, kukithiri kwa matumizi ya dawa, gharama za uendeshaji wa mradi kuwa juu nk

Mradi wa ufugaji wa kuku si mradi rahisi kama ambavyo watu wengi wanadhani. Naamini waliyowahi na wanaofuga kuku wanalijua hili. Ufugaji wa kuku ni tofauti kidogo na ilivyo ufugaji wa wanyama wengine wenye miguu minne. Kuku anapoumwa anahitaji apate tiba haraka. Na tiba hiyo haiitaji kubahatisha. Lazima ugonjwa ujulikane, ujue pia dawa halisi. Vinginevyo utaishia kulia na kupata hasara kila siku wakati wenzako wakipiga pesa kupitia ufugaji huo huo wa kuku. Asikuambie mtu, kuku wanapokufa inauma sana kama una moyo mwepesi lazima Pressure ikushike hasa kama pesa iliyotumika kuanzishia mradi ulikuwa umeikopa.

Kufugaji kuku bila kuwa na elimu ni sawa na kutaka kujitumbukiza kwenye shimo huku ukijua wazi madhara yake. Kuku wana kawaida ya kubadirika badirika. Unaweza ukawaona leo wazima lakini si ajabu baada ya muda mfupi ukashangaa wakaanza kuumwa na wanapoumwa haichukui muda wanaanza kufa mara moja.

Vifo vinapotokea, mapigo ya moyo yataanza kukupanda, jasho litakutoka na hata usingizi utashindwa kulala. Mawazo mengi yatakujaa. Utawaza hasara unayoipata kwa kuwapoteza kuku wako.

Kwa kuona hili nimeamua kuanzisha mafunzo haya maalumu kwa njia ya whatsap yatakayoendeshwa kwa siku tatu kuanzia tarehe 15/11/2017 hadi 17/11/2017 ili niweze kutoa elimu yangu kwa watanzania wenzangu kwa gharama ndogo kabisa ya shilingi elfu tatu tu ili kuwangozea maarifa wafugaji na wale wote wenye lengo la kutaka kufanya mradi wa ufugaji wa kuku kama kazi.

Kuku wanahitaji uangalifu wa hali ya juu. Wafugaji wengi wanakosea sana. Unakuta anaanzisha mradi wa ufugaji wa kuku, halafu anamwachia mfanyakazi wake auendeshe. Ukimtazama mfanyakazi huyo, unakuta hajawahi kupata mafunzo ya aina yoyote hivyo anakuwa hajua hata zile ABC za ufugaji wa kuku matokeo yake mradi hauwi endelevu.

Kwa msingi huo, kama unamfanyakazi wako anayekusaidia kwenye shughuli za uangalizi wa shamba lako si vibaya naye ukamlipia ada ya shilingi elfu tatu ili aweze kupata mafunzo haya muhimu, mafunzo yatakayo mwongozea maarifa na stadi za kuwahudimia kuku wako. Halikadhalika si vibaya kama utaamua hata mke wako naye ukamlipia ili aweze kushiriki na kunufaika na mafunzo hayo maridhawa.

Maarifa siku zote hayaozi. Tunawahamasisha watumishi mbalimbali na hata wastaafu nao waweze kushiriki katika mafunzo hayo ili kujiongezea maarifa yatakayowawezesha kutekekeza mradi wa ufugaji wa kuku kwa weledi.

Kama utahitaji kujiunga na kundi la *PATA ELIMU FUGA KUKU* tafadhali wasiliana nami kwa njia ya ujumbe mfupi kupitia namba 0767989713 au 0715989713 ili nikupatie namba utakayofanyia malipo yako.

Mara baada ya kukamilisha malipo, nitakuunga rasmi kwenye Group hilo la *PATA ELIMU FUGA KUKU*

Mafunzo haya yataendeshwa na Ndugu Aman Ng'oma aliyebobea na kuwajua vizuri Kuku. Bwana Ng'oma ni Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Kampuni ya Kinasoru East Africa Tanzania Ltd. Ndugu Ng'oma kitaaluma yeye ni afisa Mifugo, Mchumi Kilimo na Biashara, na pia Mtu wa Miradi. Ndugu Ng'oma ana Cert. Animal Health and Prod., Dip. Animal Health, BSc Agric.Eco.&Agr and Post Grad. Dip. Project plan.&Mgt.

Wote mnakaribishwe kwenye mafunzo haya muhimu na ya aina yake kuwahi kufanyika.

*Tafadhali saidia kushare*
Gharama kubwa,anza na elfu moja ,kuhusu harufu nasikiaga choka inakata harufu vipi,unatakiwa kuwatia moyo wanaoingia ktk kiwanda hiki sio kuwaofisha iwapo watazingatia basics za ufugaji
 
*ANDAA DAFTARI, ANDAA KALAMU JIUNGE KWENYE GROUP LA WHATSAP LA "PATA ELIMU FUGA KUKU" UONE TOFAUTI*

*Pata Elimu Fuga Kuku* ni kundi jipya la Whatsap lenye lengo la kutoa elimu kabambe na ya aina yake ya namna bora na yenye tija ya kuendesha mradi wa ufugaji wa kuku.

Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa mfugaji wa kuku anapata elimu sahihi itakayomsaidia kuendesha mradi wa ufugaji wa kuku kwa faida. Kutokana nafasi niliyonayo ya kuwa kwenye tasnia hii ya kuku kwa muda mrefu kama mtaalamu na mzoefu, nina nambo mengi ya msingi ambayo naamini mfugaji akiyapata yatamsaidia kwa kiwango kikubwa kuongeza ujuzi katika ufugaji wake. Hakuna atakayejuta kwa kushiriki darasa langu.

Natambua katika ufugaji wa kuku kuna changamoto nyingi lakini kubwa ni vifo vya ghafla vya kuku, kutamalaki kwa magonjwa, utagaji usiyoridhisha, chakula kutokidhi viwango na bei yake kuwa juu, tija ndogo katika ufugaji, kukithiri kwa matumizi ya dawa, gharama za uendeshaji wa mradi kuwa juu nk

Mradi wa ufugaji wa kuku si mradi rahisi kama ambavyo watu wengi wanadhani. Naamini waliyowahi na wanaofuga kuku wanalijua hili. Ufugaji wa kuku ni tofauti kidogo na ilivyo ufugaji wa wanyama wengine wenye miguu minne. Kuku anapoumwa anahitaji apate tiba haraka. Na tiba hiyo haiitaji kubahatisha. Lazima ugonjwa ujulikane, ujue pia dawa halisi. Vinginevyo utaishia kulia na kupata hasara kila siku wakati wenzako wakipiga pesa kupitia ufugaji huo huo wa kuku. Asikuambie mtu, kuku wanapokufa inauma sana kama una moyo mwepesi lazima Pressure ikushike hasa kama pesa iliyotumika kuanzishia mradi ulikuwa umeikopa.

Kufugaji kuku bila kuwa na elimu ni sawa na kutaka kujitumbukiza kwenye shimo huku ukijua wazi madhara yake. Kuku wana kawaida ya kubadirika badirika. Unaweza ukawaona leo wazima lakini si ajabu baada ya muda mfupi ukashangaa wakaanza kuumwa na wanapoumwa haichukui muda wanaanza kufa mara moja.

Vifo vinapotokea, mapigo ya moyo yataanza kukupanda, jasho litakutoka na hata usingizi utashindwa kulala. Mawazo mengi yatakujaa. Utawaza hasara unayoipata kwa kuwapoteza kuku wako.

Kwa kuona hili nimeamua kuanzisha mafunzo haya maalumu kwa njia ya whatsap yatakayoendeshwa kwa siku tatu kuanzia tarehe 15/11/2017 hadi 17/11/2017 ili niweze kutoa elimu yangu kwa watanzania wenzangu kwa gharama ndogo kabisa ya shilingi elfu tatu tu ili kuwangozea maarifa wafugaji na wale wote wenye lengo la kutaka kufanya mradi wa ufugaji wa kuku kama kazi.

Kuku wanahitaji uangalifu wa hali ya juu. Wafugaji wengi wanakosea sana. Unakuta anaanzisha mradi wa ufugaji wa kuku, halafu anamwachia mfanyakazi wake auendeshe. Ukimtazama mfanyakazi huyo, unakuta hajawahi kupata mafunzo ya aina yoyote hivyo anakuwa hajua hata zile ABC za ufugaji wa kuku matokeo yake mradi hauwi endelevu.

Kwa msingi huo, kama unamfanyakazi wako anayekusaidia kwenye shughuli za uangalizi wa shamba lako si vibaya naye ukamlipia ada ya shilingi elfu tatu ili aweze kupata mafunzo haya muhimu, mafunzo yatakayo mwongozea maarifa na stadi za kuwahudimia kuku wako. Halikadhalika si vibaya kama utaamua hata mke wako naye ukamlipia ili aweze kushiriki na kunufaika na mafunzo hayo maridhawa.

Maarifa siku zote hayaozi. Tunawahamasisha watumishi mbalimbali na hata wastaafu nao waweze kushiriki katika mafunzo hayo ili kujiongezea maarifa yatakayowawezesha kutekekeza mradi wa ufugaji wa kuku kwa weledi.

Kama utahitaji kujiunga na kundi la *PATA ELIMU FUGA KUKU* tafadhali wasiliana nami kwa njia ya ujumbe mfupi kupitia namba 0767989713 au 0715989713 ili nikupatie namba utakayofanyia malipo yako.

Mara baada ya kukamilisha malipo, nitakuunga rasmi kwenye Group hilo la *PATA ELIMU FUGA KUKU*

Mafunzo haya yataendeshwa na Ndugu Aman Ng'oma aliyebobea na kuwajua vizuri Kuku. Bwana Ng'oma ni Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Kampuni ya Kinasoru East Africa Tanzania Ltd. Ndugu Ng'oma kitaaluma yeye ni afisa Mifugo, Mchumi Kilimo na Biashara, na pia Mtu wa Miradi. Ndugu Ng'oma ana Cert. Animal Health and Prod., Dip. Animal Health, BSc Agric.Eco.&Agr and Post Grad. Dip. Project plan.&Mgt.

Wote mnakaribishwe kwenye mafunzo haya muhimu na ya aina yake kuwahi kufanyika.

*Tafadhali saidia kushare*
Kama Ni malipo umekwama

Kuna app nyingi Sana play store
Naweza download nkafaidi kuliko kuibiwa hela yangu Mchana kweupe
 
Fee yako weka iwe down kwa mjasiliana sio mfanyabiashala upo hapo vinginevyo utasubiri sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom