MUTUYAMUNGU
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,824
- 4,385
Habari za mchana wakuu ninahitaji tablet ya aina yoyote iwe nzuri isio na michubuko na bei nafuu kumbuka na mimi naenda kuuza kama unayo njoo PM. BEI 250000-350000 kulingana na ubora.
Ina sifa gani? Pamoja na ukubwa wa kioo?Ninayo Lenovo ila kwa 400k
PM NAMBA TUFANYE BIASHARA KAMA IPO POA..Ninayo Lenovo ila kwa 400k
Used Samsung Galaxy Tablet 2, Ukubwa 10.1 inch. Bei Tshs 250,000/=Habari za mchana wakuu. Ninahitaji tablet ya aina yoyote iwe nzuri isio na michubuko na bei nafuu.. Kumbuka na mimi naenda kuuza.. Kama unayo njoo PM. BEI 250000-350000 KULINGANA NA UBORA.
Nakushauri nenda kariakoo zipo mpya kwa hiyo beingBado wakuu!.
Ipo tab ya Samsung sm-t377v.check specification Google ukijiridhisha njoo hapa 0712842283 tumalize biasharaHabari za mchana wakuu ninahitaji tablet ya aina yoyote iwe nzuri isio na michubuko na bei nafuu kumbuka na mimi naenda kuuza kama unayo njoo PM. BEI 250000-350000 kulingana na ubora.