Naitaji air compressor used!

Naitaji air compressor used!

mxsdk

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
3,585
Reaction score
2,056
Rejea kichwa habari apo juu,naitaji air compressor ambayo used Kwa matumizi ya kujazia upepo!Kwa mwenye anayo anauza njoo pm tuyamalize lakini weka specification zake!
 
Rejea kichwa habari apo juu,naitaji air compressor ambayo used Kwa matumizi ya kujazia upepo!Kwa mwenye anayo anauza njoo pm tuyamalize lakini weka specification zake!
Mkuu ebu kamilisha tangazo lako...
1. Unahitaji compressor ya ujazo gani?
2. Unahitaji ya umeme ama petrol?
3. Unahitaji yenye kutoa kpi/bar ngapi?
4. Unahitaji ukuwe na hose pipe za urefugani?
5. Unapatikana wapi?
 
Rejea kichwa habari apo juu,naitaji air compressor ambayo used Kwa matumizi ya kujazia upepo!Kwa mwenye anayo anauza njoo pm tuyamalize lakini weka specification zake!
Kama uko dar nenda manyanya kituo cha kuelekea posta Kna jamaa anaziba pancha anayo hapo

Ova
 
Asanteni,nilishapata!
 
Back
Top Bottom