Live Band

Live Band

aminiusiamini

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2011
Posts
3,577
Reaction score
2,227
Wakuu,

Naomba kuuliza kama kuna Live Band mjini wanaoweza kutumbuiza kwenye harusi,sherehe nk.Naamanisha wenye vifaa vyote vya Band.

Pia wenye uzoefu wa kusample miziki ya nje kama soul and Jazz.
Kama wewe ni mmoja wapo tupia bei hapa na contacts zako.
Na maelezo mengine kuhusu kazi yako tutakutafuta.

Ahsanteni.
 
Back
Top Bottom