Friji kubwa aina ya samsung inauzwa kwa bei ya Tsh. 500,000. Inafaa kwa matumizi ya nyumbani au biashara, Friji inapatkana Dar es Salaam. Ina partition mbili, juu inapooza na chini inagandisha...
Habarini wakuu
Hapa naizungumzia pasi ya nguo philips
Maker : Phillips
Model name:vintage
Model no: 1120/B
Manufacture year:1980
Wakuu hii kitu alinunua marehemu baba yangu soon to alipooana na...
Habari naomba nikusaidie namna ya kujiunga na huduma zetu bora kabisa za maxmalipo ni rahisi sana andaa document copy ya vifuatavyo kwa ajili ya mkataba Leseni ya biashara ,2. TIN no 3...
Ngurue walio certified pure large white wanauzwaa kwa being nzuri arushaa. Kwa mawasiliano. Tutafute kuptiaa 0756787474/0743955630. Karibuni pkaa watoto wazuri wenye miez 3 waapatikanaa pkaa.
Kwa wale wenye halotel kwa shilingi 7500 unapata gb 12 sms1800 na dakika 175 za kupiga mitandao mingne kwa mwez mzma kama unaitajiii ni chekii
karibuni
Update:
Offer kwa leo tarehe 14 imeisha...
Habari wadau,
Niko nafanya mchanganuo wa kufungua Biashara.
Ninahitaji mashine zifuatazo:
Mashine ya kufua upepo,na mtungi wake inayowaza kujaza matairi ya magari ya kutumia petrol na umeme...
Wana jamii naomba niwatambulishe vijana wanaofanya branding ya vifungashio (paper packaging) vya karatasi vya 1Kg, 2Kg,5Kg n.k ili kuongeza thamani ya bidhaa yakounaweza ukacheki nao # 0765858758...
Nilikalibishwa maongezi ya kibiashara na mfanyakazi mmoja wa kampuni ya Lifecase wanauza belt za kupambana na tatizo la kibamia. Akaniambia ninue kwa jumla kwa 35,000/= niuze kwa elfu hamsini...
Mambo vp nilikuwa na shida ya vifungashio anaejua WAP ninaweza kuvipata vifungashio vya vyakula mfano kama vile vya diamond Karanga au chipsy snack naomba anijuze au ni kampuni gani ambayo...
Nauza viwanja eneo la Kisemvule, tunakata viwanjabkwa ukubwa unao taka, hakuna dalali.
Eneo lipo karibu na barabara kuu iendayo Kilwa, umeme upo karibu kabisa, maji yapo karibu, shile ya...
Wadau nilinunua hii mashine mwaka jana mwezi wa 11 hivyo bado mpya ina milango 8 na master,shilingi 600,000/=,kinachonisababisha kuuza ni kukosa usimamizi wa biashara niliyotaka kuifanya...
Mzazi pamoja na mwanafunzi aliemaliza form four unakumbushwa kuwatafta hawa walimu maarufu pale mwanza kwa tuition za maandalizi ya kidato cha tano.
Mwl Mkandawille ni maarufu kwa chemistry namba...
Nauza Metal feni iliyotumika muda mfupi, infaa kwa matumizi ya kumbi za mpira, baa, club, kanisani na sehemu kama hizo. Bei ni 120,000. Tsh. Ni inbox nikuuzie.
Nauza feni yenye material ya chuma. Inafaa sana kwa wenye sehemu za kuonyeonyeshea Mpira, makabisani, bar na sehemu zenye mikusanyiko ya watu. Bei Tsh 90,000.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.