Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Friji kubwa aina ya samsung inauzwa kwa bei ya Tsh. 500,000. Inafaa kwa matumizi ya nyumbani au biashara, Friji inapatkana Dar es Salaam. Ina partition mbili, juu inapooza na chini inagandisha...
1 Reactions
39 Replies
8K Views
Habarini wakuu Hapa naizungumzia pasi ya nguo philips Maker : Phillips Model name:vintage Model no: 1120/B Manufacture year:1980 Wakuu hii kitu alinunua marehemu baba yangu soon to alipooana na...
10 Reactions
38 Replies
6K Views
Habari naomba nikusaidie namna ya kujiunga na huduma zetu bora kabisa za maxmalipo ni rahisi sana andaa document copy ya vifuatavyo kwa ajili ya mkataba Leseni ya biashara ,2. TIN no 3...
1 Reactions
6 Replies
7K Views
Ngurue walio certified pure large white wanauzwaa kwa being nzuri arushaa. Kwa mawasiliano. Tutafute kuptiaa 0756787474/0743955630. Karibuni pkaa watoto wazuri wenye miez 3 waapatikanaa pkaa.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kwa wale wenye halotel kwa shilingi 7500 unapata gb 12 sms1800 na dakika 175 za kupiga mitandao mingne kwa mwez mzma kama unaitajiii ni chekii karibuni Update: Offer kwa leo tarehe 14 imeisha...
10 Reactions
178 Replies
18K Views
Habari wadau, Niko nafanya mchanganuo wa kufungua Biashara. Ninahitaji mashine zifuatazo: Mashine ya kufua upepo,na mtungi wake inayowaza kujaza matairi ya magari ya kutumia petrol na umeme...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana jamii naomba niwatambulishe vijana wanaofanya branding ya vifungashio (paper packaging) vya karatasi vya 1Kg, 2Kg,5Kg n.k ili kuongeza thamani ya bidhaa yakounaweza ukacheki nao # 0765858758...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mikoba na nainai kwa bei chee unaletewa ulipo,mikoani pia tunatuma pga 0784427363,Karibuni.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nilikalibishwa maongezi ya kibiashara na mfanyakazi mmoja wa kampuni ya Lifecase wanauza belt za kupambana na tatizo la kibamia. Akaniambia ninue kwa jumla kwa 35,000/= niuze kwa elfu hamsini...
0 Reactions
48 Replies
4K Views
bei ya ndoo kubwa na ndogo zile zilizoisha mafuta ni bei gan kwa jumla??
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Mambo vp nilikuwa na shida ya vifungashio anaejua WAP ninaweza kuvipata vifungashio vya vyakula mfano kama vile vya diamond Karanga au chipsy snack naomba anijuze au ni kampuni gani ambayo...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Natafuta gari Toyota IST iliyo katika hali nzuri kuanzia namba C au D bajeti yangu 7m
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza viwanja eneo la Kisemvule, tunakata viwanjabkwa ukubwa unao taka, hakuna dalali. Eneo lipo karibu na barabara kuu iendayo Kilwa, umeme upo karibu kabisa, maji yapo karibu, shile ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Natafuta duka linalodili na mashine za maji Yamaha nichek kwa no 0765509395
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyo eleza nahitaji kitanda 5*6 na dressing table kama unavyo unauza njoo pm.
0 Reactions
1 Replies
743 Views
Wadau nilinunua hii mashine mwaka jana mwezi wa 11 hivyo bado mpya ina milango 8 na master,shilingi 600,000/=,kinachonisababisha kuuza ni kukosa usimamizi wa biashara niliyotaka kuifanya...
0 Reactions
5 Replies
771 Views
Toyota Estima inauzwa kwa 7Million Prado inaenda kwa 25Million zipo kwenye conditions nzuri sana.
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Mzazi pamoja na mwanafunzi aliemaliza form four unakumbushwa kuwatafta hawa walimu maarufu pale mwanza kwa tuition za maandalizi ya kidato cha tano. Mwl Mkandawille ni maarufu kwa chemistry namba...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Nauza Metal feni iliyotumika muda mfupi, infaa kwa matumizi ya kumbi za mpira, baa, club, kanisani na sehemu kama hizo. Bei ni 120,000. Tsh. Ni inbox nikuuzie.
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Nauza feni yenye material ya chuma. Inafaa sana kwa wenye sehemu za kuonyeonyeshea Mpira, makabisani, bar na sehemu zenye mikusanyiko ya watu. Bei Tsh 90,000.
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Back
Top Bottom