Tecno l8 lite for sale:quick specs of the tecno l8 lite
5.0 inch display screenIPS HD display720*1280 pixels resolutionRuns on Android 6.0 MarshmallowPowered by a quad core processorClock...
Kiwanja kina ukubwa wa 35 kwa 30 kipo mahali pazuri na mitaa mizuri pamejengeka tena kwa mpangili
Bei 16.5ml
Maongezi kidogo yapo na kwa maongezi zaidi au kuja kuona wasiliana nami kwa
0756060183
Kwa Mahitaji ya viwanja nicheki
Nina kiwanja kipo kinyerezi king'azi bei milioni 3 ukubwa 20×20
Pia mbezi makabe 20×20 bei milioni 6
Kingine kibamba Kiluvya milioni 3.5 ukubwa 20×20
Nicheki...
Kinahitajika kiwanja cha size kawaida:
Kipimo kati ya mita 10 kwa 15 hadi 20 by 30.kiwe katika moja ya maeno yafuatayo:
Mbezi malamba mawili,Kivule, na Magole.
Bei iwe reasonable na miundo...
Kuna bidhaa za kilimo nataka kununua Njombe sasa nahitaji kuziona kwanza na kwa sasa niko mbali sana, je kuna mtu yeyote yuko njombe ani-PM aende kuzicheki kabla sijatumiwa mzigo... fedha...
Hellow friends
Habari,
Ninapenda kuchukua nafasi hii kukupa taarifa itakayoweza kubadili historia ya maisha yako kiuchumi,kama utaamua kuchukua hatua
Taarifa ya fursa ya mafunzo ya biashara...
Nauza kiwanja changu chenye ukubwa kama ifuatavyo;
urefu hatua 30 * upana hatua 20.
Kiwanja hiki kiko mita 200 kutoka barabara kuu, na kipo eneo zuri kwa makazi na biashara.Kina msingi wa nyumba...
Nauza kiwanja changu chenye ukubwa kama ifuatavyo;
urefu hatua 30 * upana hatua 20.
Kiwanja hiki kiko mita 200 kutoka barabara kuu, na kipo eneo zuri kwa makazi na biashara.Kina msingi wa nyumba...
Nauza kiwanja changu chenye ukubwa kama ifuatavyo;
urefu hatua 30 * upana hatua 20.
Kiwanja hiki kiko mita 200 kutoka barabara kuu, na kipo eneo zuri kwa makazi na biashara.Kina msingi wa nyumba...
Viwanja viwili tajwa hapa chini vinauzwa, vyote vina hati miliki vipo karibu na mizani ya zaman ya kibaha for serious buyers pm for price
Title 45916 kibaha area sqm...
Wakuu habari za leo.
Nahitaji kiwanja chenye hati na kinachomilikiwa kihalali.
Maeneo yawe ni Mbezi Beach au Africana au Goba.
Anayeuza tafadhali anitajie bei kabisa PM ili kurahisisha maamuzi ya...
Asalaam aleikhum ndugu zangu wa jukwaa hili mahsusi, matumaini yangu kuwa ni wazima wa afya na mnaendelea na gurudumu la kusukuma Maisha. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Kiwanja...
1977 Toyota Stout
ipo kwenye hali nzuri sana, roho ya paka, engine ni standard, inabeba gunia 35 za mahindi bila wasiwasi, linafaa kwa mkulima hodari au mfanya biashara wa mazao. 0717 200 575...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.