Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key) Kwa magari madogo na makubwa eg. TOYOTA,VW,BMW,FORD, Benz, Iveco, Scania nk...
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans.
Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi
Karibu sana
0654919121
0758919121
0622060797
0683928358...
Kichwa cha thread hapo Juu chahusika.
Zipo zaidi ya ekari 50.
150,000/= @ Ekari moja
For serious Customers, tuwasiliane.
Mkoa: Lindi
Wilaya:Nanchingwea
Mahali lilipo: Kikiji cha " Farm 17/ Farm...
JINSI DRINKERS ZINAVYOFANYA KAZI
- Unakuwa na tank lako la maji ambalo una connect bomba toka kwenye tank kuja kwenye banda la nguruwe
- Bomba ikifika kwenye la nguruwe mbele ya bomba ndipo...
J & B ENTERPRISES TUTAENDESHA SEMINA KWA WAFUGAJI WA KUKU, MBUZI, NG’OMBE, NGURUWE NA SUNGURA.
WASILIANA NA ENG. MR. MALINGUMU (0675807782)
UPATE MAELEKEZO YA KINA.
VYUMA vimekaza na UNCLE MAGU kasema tutafute GREASE,nimejiongeza nauza asali ya NYUKI WA wadogo nachukulia MANYARA na supply kuanzia lita 5 kwa Tsh 100,000/
mniunge wadau maisha ni kutafuta.
Salute wanabodi,
Rejea kichwa hapo juu, nina kampuni ya ujenzi ambayo imesajiliwa mwaka 2015, kampuni imesajiliwa kufanya kazi za civil and building.
Mwenye uhitaji tuwasiliane kwa mazungumzo...
Habari wadau;
Kwa anayejua wapi naweza kupata vifungashio kwa Dar es Salaam au Moshi Mjini na kwa gharama nafuu anijulishe pamoja na gharama zake
Nahitaji vifungashio vifuatavyo:
Maboksi,Mifuko...
Leo nmewaletea vifaa kwa ajili ya kupima bidhaa mbali mbali wakati wa usindikaji.
Vipo vya aina mbili:
1. Yenye range 0-32 degree. Hichi kinaweza kupima kiwango cha sukari/ uzito kwenye juisi...
M.i fumigation company
Kiboko ya wadudu wasumbufu
(watambaao&warukao) kama unasumbuliwa na kunguni,viroboto, na nk nyumban&bustanini kwako na kama mifugo wako wanasumbuliwa na wadudu pia na...
Nilinunua piki piki kwajili ya matumizi binafsi kwenye shuguli zangu za kila siku.
Kwa sasa nimepata usafri mwingine kwajili ya shuguli zangu.
Na mimi ndio mwenyewe piki piki hii na...
Habari zenu wakuu.
Nawaletea Mashine ya Ku Press Picha na Maandishi kwenye Tshirt, Vitambaa, mashati N.k kwa Bei Poa. Mashine Hii iPo Morogoro Mjini. Pia Ntakupa ABC za Tshirt Printing kwa...
Poleni kwa msiba wa kuondokewa na Mzee wetu Kingunge Ngombale Mwiru. Nakuja kwenye mada, Nyumba yangu inavuja, mafundi hawakunitendea kazi vizuri na kusababisha nyumba kuvuja hasa kwenye misumali...
Nina acres 20, Miti ni mikubwa ya kuvuna ina miaka 11. Kila acre tsh. Million 4.5.
Mteja anatakiwa kununua acres zote kwa pamoja.
No Dalali, mwenye Shamba na Mteja tunatosha
0767514718
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.