Habari zenu wana jamii..
Nina shamba langu la hekari 3, lipo mpakan mwa Pwani na Morogoro.. Ukitoka Msolwa kama unaenda morogoro..
Ni Km3 kutika barabara kuu ya lami iendayo Moro.
Ndio nilikuwa naliandaa kuanza kulima ila ninepata, respond ya Scholarship to Sweden.. Nahitaji hela ya kujazia nauli.. Ndio maana nauza bei ya kutupa.
Bei 350,000/= kwa heka 1 ila nauza zote3 kwa mkupuo ziuzi moja moja.
Ardhi inarutuba haijaguswa 7yrs..
Mazao yote yanakubali, udogongo mzuri
Wasiliana na mm kwa simu
0625962883
Nina shamba langu la hekari 3, lipo mpakan mwa Pwani na Morogoro.. Ukitoka Msolwa kama unaenda morogoro..
Ni Km3 kutika barabara kuu ya lami iendayo Moro.
Ndio nilikuwa naliandaa kuanza kulima ila ninepata, respond ya Scholarship to Sweden.. Nahitaji hela ya kujazia nauli.. Ndio maana nauza bei ya kutupa.
Bei 350,000/= kwa heka 1 ila nauza zote3 kwa mkupuo ziuzi moja moja.
Ardhi inarutuba haijaguswa 7yrs..
Mazao yote yanakubali, udogongo mzuri
Wasiliana na mm kwa simu
0625962883