sizonjemadawa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 1,052
- 1,306
Desk top tsh 180,000/
Hd gb 500
Ram 4 gb
Kabati ya chips 70,000/
Inahitaji marekebisho kidogo gharama ya marekebisho ni 30,000
Nko dsm mkuuUko wapi nikuchape hela chap
Hiyo desktop ina processor aina gani mkuu![]()
Desk top tsh 180,000/
Hd gb 500
Ram 4 gb
![]()
Kabati ya chips 70,000/
Inahitaji marekebisho kidogo ya gharama ya 30000/
1
Mkuu nimeshindwa kujua procesor ukizingatia cfahamu vizur sana computerHiyo desktop ina processor aina gani mkuu
Weka namba ya simu![]()
Desk top tsh 180,000/
Hd gb 500
Ram 4 gb
![]()
Kabati ya chips 70,000/
Inahitaji marekebisho kidogo ya gharama ya 30000/
![]()
Samsung nahitaji 70,000/-
Samsung j1 kama inavyoonekana kioo kinamikwaruzo ila kina touch fresh,
4g inasoma fresh, duos,
Ila camera ya mbele haipigi fresh kutokana na mikwaruzo, na ya nyuma pia
Nimekutumia pmWeka namba ya simu
Nenda dukaniJe Una risiti lkn
Hapana mkuu siuzi kwa hiyo pesadesktop 100 nakuachia
50 ipo mkuu![]()
Desk top tsh 180,000/
Hd gb 500
Ram 4 gb
![]()
Kabati ya chips 70,000/
Inahitaji marekebisho kidogo ya gharama ya 30000/
![]()
Samsung nahitaji 70,000/-
Samsung j1 kama inavyoonekana kioo kinamikwaruzo ila kina touch fresh,
4g inasoma fresh, duos,
Ila camera ya mbele haipigi fresh kutokana na mikwaruzo, na ya nyuma pia
Hiyo 50 ipo kwa kitu gani hapo juu50 ipo mkuu
Hapana mkuu nauza vyote pamojaNiuzie machine hiyo bila monitor
Tayar mkuuni pm namba yako tuongee io Computer..