Wanajamvi salaam
Huu uzi ni kwa ajili ya kuonyeshana ufundi show ups katika ujenzi wa
Nyumba
Walls
Terraces
Na kadhalika karibuni
Ni ruksa kushare picha of your success katika ujenzi
Karibuni
Jiko la gesi "two plates" na mtungi wake kama inavyoonekana kwenye picha linauzwa kwa kiasi cha shilingi 100,000/=. Muuzaji anapatikana Morogoro mjini kama anavyojifafanua hapo chini. Asanteni...
TV ya nchi 32,friji na music system vinauzwa,vyote ni LG,viko na resiti zake na Vina miezi miwili toka vinunuliwe... Kwa mawasiliano zaidi piga 0679059655. Kwa picha whatsap njoo kwenye namba hii...
Habari wakuu ,
Tunauza mikoba ya ngozi, bei ya rejareja ni Tsh. 35,000/= na jumla itategema na idadi unayochukua. Ukihitaji karibu dukani kwetu Tegeta Dar es salaam au wasiliana nasi...
Wakuu nilikuwa natengeneza passo yangu maeneo ya TABATA huko, sasa naona hawa mafundi hawana utaalam wa kutosha kila Mara wanasema nunua hiki nikinunua tatizo liko palele nahisi ni mafundi...
Habari wana jamvi
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji display ya samsung s8 kutokana na simu yangu kupata hitilafu kidogo,
Kwa yoyote aliyonayo hata kama ni used tuwasiliane
0758728258
Tunahitaji Laptop zitakazo saidia kuendesha workshop Dar es salaam, ziwe katika hali nzuri HP na Dell zisiwe feki na speed nzuri sana, hakikisha ina antivirus. tutazitumia kwa siku 20 tutalipa sh...
Tunauza scientific calculator FX-991 MS kwa shilingi elfu kumi na tano tu.
Huna haja ya kwenda kwa wahindi wakuuzie calculator hii hii kwa elfu ishirini
na tano au elfu thelathini. Hiyo ni bei...
This is a used iphone; in good working condition. All its accessories are in its original box
Price: Tsh. 1,100,000/=
From Dodoma Urban. Shipping quote will depend the buyer’s shipping type...
Habari,
Jipatie mashine mpya ya kibiashara kwa ajili ya juice natural.
Mashine inakamua na kuchuja yenywewe bila ya kueka maji yaani 100% natural juice
Inanguvu 550W
Imetengenzwa kwa stainless...
Habari ndugu,
Kama unawaza kujenga ya makazi yako ya kudumu anza kununua kiwanja kwanza.
Na kama unawaza kufanya uwekezaji wa kudumu anza kuwekeza kwa kununua kiwanja kwanza.
Hakika...
Hello Wana JF natumaini mnaendelea vizuri Kwa uwezo wake muumba Wetu aliye mkuu, Nina Toyota Noah Voxy Nauza iko Arusha mjini .Bei yake Ni 8milion iko safi haijawahi kupata ajali ,mwenye kuhitaji...
Habari wana-JF,
Ninahitaji vifaranga wa kuku wa kienyeji aina ya kuroiler F1.
Kuna watu wamekuwa wakiuza kuku hao lakini si wale F1 bali wamekuwa ni mzao wa mbali sana kiasi cha kupoteza ile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.