Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

zinatumia line zote 4g network bei tsh80000. nicheki whatspp tufanye biashara
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wanajamvi salaam Huu uzi ni kwa ajili ya kuonyeshana ufundi show ups katika ujenzi wa Nyumba Walls Terraces Na kadhalika karibuni Ni ruksa kushare picha of your success katika ujenzi Karibuni
0 Reactions
0 Replies
421 Views
Jiko la gesi "two plates" na mtungi wake kama inavyoonekana kwenye picha linauzwa kwa kiasi cha shilingi 100,000/=. Muuzaji anapatikana Morogoro mjini kama anavyojifafanua hapo chini. Asanteni...
0 Reactions
24 Replies
13K Views
Feni bado imara na mpya. Bei 45,000 Nipo Dar es salaam kwa atakae hitaji nitafute namb >> 0766166483
0 Reactions
13 Replies
4K Views
TV ya nchi 32,friji na music system vinauzwa,vyote ni LG,viko na resiti zake na Vina miezi miwili toka vinunuliwe... Kwa mawasiliano zaidi piga 0679059655. Kwa picha whatsap njoo kwenye namba hii...
1 Reactions
52 Replies
6K Views
Bei 35,000 nipo Dar es salaam, kama unahitaji nitafute kwa namb >> 0766166483
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wakuu , Tunauza mikoba ya ngozi, bei ya rejareja ni Tsh. 35,000/= na jumla itategema na idadi unayochukua. Ukihitaji karibu dukani kwetu Tegeta Dar es salaam au wasiliana nasi...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Wakuu nilikuwa natengeneza passo yangu maeneo ya TABATA huko, sasa naona hawa mafundi hawana utaalam wa kutosha kila Mara wanasema nunua hiki nikinunua tatizo liko palele nahisi ni mafundi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jamvi Kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji display ya samsung s8 kutokana na simu yangu kupata hitilafu kidogo, Kwa yoyote aliyonayo hata kama ni used tuwasiliane 0758728258
0 Reactions
2 Replies
675 Views
Tunajishughulisha na uuzaji na usambazaji wa vifaa vya ujenzi kama Mbao,nondo,mabati,mirunda,plywood,marine board nk.
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Pikipiki naiuza. Iko vizuri cc250' Bei milioni 4.5 Karbu sana.
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau,na wana nzengo wote,nnazo mbegu za mchicha rangi ya njano.kwa anaye hitaji au kujua lilipo soko lake tuwacliane ktk no 0654694935 au 0757685780
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tunahitaji Laptop zitakazo saidia kuendesha workshop Dar es salaam, ziwe katika hali nzuri HP na Dell zisiwe feki na speed nzuri sana, hakikisha ina antivirus. tutazitumia kwa siku 20 tutalipa sh...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tunauza scientific calculator FX-991 MS kwa shilingi elfu kumi na tano tu. Huna haja ya kwenda kwa wahindi wakuuzie calculator hii hii kwa elfu ishirini na tano au elfu thelathini. Hiyo ni bei...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
This is a used iphone; in good working condition. All its accessories are in its original box Price: Tsh. 1,100,000/= From Dodoma Urban. Shipping quote will depend the buyer’s shipping type...
0 Reactions
2 Replies
679 Views
Habari, Jipatie mashine mpya ya kibiashara kwa ajili ya juice natural. Mashine inakamua na kuchuja yenywewe bila ya kueka maji yaani 100% natural juice Inanguvu 550W Imetengenzwa kwa stainless...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari ndugu, Kama unawaza kujenga ya makazi yako ya kudumu anza kununua kiwanja kwanza. Na kama unawaza kufanya uwekezaji wa kudumu anza kuwekeza kwa kununua kiwanja kwanza. Hakika...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Hello Wana JF natumaini mnaendelea vizuri Kwa uwezo wake muumba Wetu aliye mkuu, Nina Toyota Noah Voxy Nauza iko Arusha mjini .Bei yake Ni 8milion iko safi haijawahi kupata ajali ,mwenye kuhitaji...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wana-JF, Ninahitaji vifaranga wa kuku wa kienyeji aina ya kuroiler F1. Kuna watu wamekuwa wakiuza kuku hao lakini si wale F1 bali wamekuwa ni mzao wa mbali sana kiasi cha kupoteza ile...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom