Nasumbuliwa na Amoeba

Nasumbuliwa na Amoeba

Erick Makungu

Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
87
Reaction score
125
Yeyote anaye jua dawa nxuri ya kutibu minyoo aina ya Amoeba anisaidie, nimetumia dawa mbali mbali wapi, inapona baada ya mda fulani inaludi tena, msaada ndugu zangu
 
Chukua alovera isiuokuwa na madoa. Kata kata vipande vdogo vdogo kama nusu lita. Kisha weka maji usawa wa alovera uliyokata kata. Acha nusu saabkisha kunywa yale maji. Hakika utapona. Lakin tumbo lazima litafungua utahara kama mara 4 ivi rudia baada ya week moja. Ile mala ya kwanza tu hutosikia maumiv tena. Kisha utakuwa umepona saaàafi.
 
Chukua alovera isiuokuwa na madoa. Kata kata vipande vdogo vdogo kama nusu lita. Kisha weka maji usawa wa alovera uliyokata kata. Acha nusu saabkisha kunywa yale maji. Hakika utapona. Lakin tumbo lazima litafungua utahara kama mara 4 ivi rudia baada ya week moja. Ile mala ya kwanza tu hutosikia maumiv tena. Kisha utakuwa umepona saaàafi.
Nashukuru sana kwa ushauri
 
Back
Top Bottom