Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,894
- 52,484
Natafuta matango kiasi kwa ajali ya biashara,
Yawe yapo shambani nitafuata mwenyewe,
Ama kama anaweza kuniletea tutazungumza.
Napatikana Kibamba, Dar es Salaam
Bei ya bidhaa itatoka kwa mkulima mwenyewe na makubaliano yakifikiwa tutafanya biashara.
Napendekeza matango kutokea mikoa ya pwani ili iwe rahisi kwa usafirishaji.
Kama una mzigo tafadhali karibu PM.
Yawe yapo shambani nitafuata mwenyewe,
Ama kama anaweza kuniletea tutazungumza.
Napatikana Kibamba, Dar es Salaam
Bei ya bidhaa itatoka kwa mkulima mwenyewe na makubaliano yakifikiwa tutafanya biashara.
Napendekeza matango kutokea mikoa ya pwani ili iwe rahisi kwa usafirishaji.
Kama una mzigo tafadhali karibu PM.