Natafuta Nyumba nzur ya kupanga, Iwe maeneo ya Kihonda_kwa Chambo. Iwe na vyumba viwili na sebure
Bajeti : 70000/= kwa mwezi
Aliye tayari au mwenye kufahamu ilipo anichek PM
Shule ipo Mbeya mjini, km 5 toka city centre.
Mazingira tulivu ya kusomea
Ada nafuu kabisa
Bweni na kutwa
Walimu mahsusi kwa masomo
Mhula wa awali kuanzia 6/4/2017
Fomu sh 10,000 , popote...
Simu ipo kwenye hali nzuri kabisa [mint condition].
32GB
Rangi ni platinum gold
Factory unlocked
International version
Laki tano nakuachia mzigo
Bonus: waweza kukutana nami ana kwa ana.....
Habar yenu wanajukwaa,Nauza nazi nzuri zilizokomaa kutoka Pangani, Tanga. Nipo Bugurun, nauza kwa jumla. Kuna za 600,700 na 800.
Tuwasiliane 0678361222 /0659469663
Wapendwa naomba nijue sehemu ambayo naweza pata bajaji mpya yenye bei nzuri lakini pia yenye uwezo mkubwa wa kubeba mizigo na inayodumu! wenye uzoefu na vitu hivi tafadhali sana mnijuze!
Nawakilisha!
Kichwa cha thread hapo juu chahusika.
UHITAJI: Shamba lenye ukubwa kuanzia ekari 5.
SIFA: Liwe karibu na chanzo cha maji.
Liwe ndani ya Manispaa ya Morogoro, Wilaya ya Morogoro vijijini au...
Nyumba inauzwa Mbeya mjini eneo la sokomatola jirani na kanisa la Moravian na Njiampaka,barabara ya kwanza.
Wasiliana nasi kwa namba zifuatazo:-
0718108188
0685110666
0759544682
Habari kwa yule mwenye uhitaji wa kufundishiwa mbwa mkoani mbeya minipo naujuzi wa kufundisha mbwa ukali anapokuja mwizi,utii kwa boss wake,kumwepusha na sumu, pamoja somo lolote unalohitaji mbwa...
Chumba kiko mbezi mwisho kodi elfu sitini kwa mwezi kulipa kuanzia miezi sita..
Chumba kina choo ndani tiles chini pamoja na gypsum bila kusahau maji na geti kubwa.
Masharti ya chumba...
Habari wakuu!
Samahani kwa wale waliopo Mbeya, natafuta chumba cha kupanga kiwe self contained. Kiwe maeneo ya Isyesye au Nanenane. Kikiwa chumba na sebule utakua poa zaidi.
Bless you
Habari za asubuhi wana JF.
Naombeni msaada wa kupata soko la kuuza ndizi mbichi aina mbalimbali pamoja na nazi. Kama unaye ndugu yeyote au mtu yeyote mwenye kujihusisha na biashara za aina hii...
Habari wanajamvi,
Nilikuwa nahitaji Blackberry Passport au Blackberry Keyone. Atakayekuwa anauza ani PM tuongee biashara. Nipo tayari kusikiliza offer kutoka kwa wauzaji... Asante
Piga simu no;- 0754 597809, Tupo Mbezi beach Tangibovu kwa Komba.
Vifaa:- Tv aina zote, mixer, amplifiers, booster, keyboard, subwoofer, machine za kuhesabu hela bank au super market, kuunda vifaa...
Habari zenu mabibi na mabwana. naomba kuuliza kwayeyeto anaefaham OFICI ao MTU binafsi wanao jihusisha na kutoa mikopo ya magari. Naitaji Gari aina ya NOAH old model, ao Toyota CARINA Ti. naitaji...