Heaven Seeker
JF-Expert Member
- May 12, 2017
- 479
- 1,080
Kichwa cha thread hapo juu chahusika.
UHITAJI: Shamba lenye ukubwa kuanzia ekari 5.
SIFA: Liwe karibu na chanzo cha maji.
Liwe ndani ya Manispaa ya Morogoro, Wilaya ya Morogoro vijijini au Mvomero.
MATUMIZI: Kilimo cha Umwagiliaji wa mazao mbalimbali , hasa Mboga mboga na Matunda.
Mwenye nalo au atakayeweza fanikisha upatikanani wa Shamba hilo kwa ajili ya kununua tuwasiliane na nitashukuru kwa ushirikiano.
UHITAJI: Shamba lenye ukubwa kuanzia ekari 5.
SIFA: Liwe karibu na chanzo cha maji.
Liwe ndani ya Manispaa ya Morogoro, Wilaya ya Morogoro vijijini au Mvomero.
MATUMIZI: Kilimo cha Umwagiliaji wa mazao mbalimbali , hasa Mboga mboga na Matunda.
Mwenye nalo au atakayeweza fanikisha upatikanani wa Shamba hilo kwa ajili ya kununua tuwasiliane na nitashukuru kwa ushirikiano.