Nyumba inapangishwa Arusha sanawari . ina vyumba viwili vya kulala na sebule na choo, jiko, bafu, store. ipo ndani ya fence ina umeme na maji karibu na barabara ya daladala. bei yake ni laki mbili...
Habari wanaJF
Natafuta mtu/company inyotengeneza vitabu vya malipo kwa ajili ya comapny/organization kama nilivyoorodhesha hapo chini:-
1. Cash Book
2. Payment Voucher
3. Pretty Cash Expenses...
kama kuna mtu yeyote anayeweza kutumia vizuri fire extinguisher, pia kuelekeza namna ya kutumia kwa watu wengine waliopo ofisini anitafute 0624 056531 kabla ya mwezi wa nne,2018
Kwa wenye uhitaji ujenz wa gharama nafuu wa nyumba za kisasa michoro na ushauri wa kitaalam tuna mafundi waliobobea.
Tunajenga na kukamilisha kulingana na makubaliano.
Wadau kama taarifa inavyojieleza, natafuta mdau wa kuniuzia korosho zilizobanguliwa kwa ajili ya kutuma nje ya nchi.
This is a serious deal, tafadhali weka mawasiliano yako hapa nikutafute...
Habarini wakuu,
Kichwa cha habari kinajieleza.
Natafuta mashine ya kisasa ya kukamua miwa na kutengenezea juice inayopatikana hapa nchini hasa mkoani Dar es salaam ??
Mashine ya kisasa hasa zile...
Ni utaratibu gani natakiwa kufwata ili niweze kuanzisha biashara ya kokoto. Kwa maana ya kufunga KRASHA la kuvunjia mawe.
Utaratibu ni upi huko serekalini?
Mwenye idea na hii kazi naomba uzoefu...
Tunakuletea mkopo kabambe wa ujenzi wa nyumba.
Tunatoa mkopo wa kujengewa nyumba ambapo utajengewa nyumba yako na kukabidhiwa funguo zako kisha kuanza kutumia nyumba yako utakavyo wewe.
Jinsi...
Wandugu natafuta pikipiki, sun lg, boxer, TVs Yamaha ama nyingine yoyote ambayo ni nzima. Ofa yangu ni 7k. Ikipatikana iliyoko arusha ama dar itapendeza zaidi
Habari wakubwa zangu,
Nimewaletea stationary ya kibabe zaidi ambayo inatoa huduma kwa bei nafuu kabisa sawa na bure.
Tunatoa huduma zote za secretarial services kama vile printing, typing, binding...
Habari Zenu??smart phone inauzwa Ni ITEL ipo vizuri kabisa Bei ni Tsh 150,000/=ila maelewano yapo kidogo.Una ruhusiwa kuijariibu siku ya kuifata, Kama upo tayari ni pm direct.nipo DSM.
Ndugu kama unatafuta fundi wa jiko lako la linalotumia GASS au jirani hata ndugu Mtafute huyu fundi bingwa wa aina hiyo ya majiko ni fundi mzuri pia mwaminifu +255715673024 kwa instagram anatumia...