Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza kitanda cha chuma 4*6 kwa bei ya 250,000 Kina uwezo wa kukunjwa na kukunjika kwa jinsi utakavo Nipo Dar es salaam kama unahitaji nitafute kwa namb >> 0766166483
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nahitaji camera canon 550d isiyo na tatizo loloteee njoo tuyajengee...
0 Reactions
6 Replies
900 Views
Naomba kuelekeza wakuu kama kichwa cha habari kilivyojieleza Asanteni wenu Mtiifu Jitu
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Nahitaji camera aina ya canon 6d mark ii mwenye nayo au anayejua ntaipata wapi anisaidie tafadhali
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kufahamishwa ni maeneo gani naweza kwenda kukuta aina mbalimbali za camera aina canon hapa jijini Dar? Mwenye kujua maduka yanayouza hizo camera anijulishe tafadhari
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habari, Natafuta gari L/CRUISER 1hz, dashboard kubwa, iwe pick up au station wagon. Nicheki kwa number hii 0787 072223
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za asubuh wana jf kama nivyoeleza hapo juu kuwa naitaji cm na bajet yng ni 100k,nipo arusha kma upo njoo pm
0 Reactions
2 Replies
928 Views
habari wana jamii forum. nahitaji vifaranga 500 wa mayai (layers), mwenye ujuzi wa wapi nitapata vifaranga wazuri na bei ya kifaranga ni sh. ngapi naomba anisaidie majibu. nipo Dar es salaam...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
habari wanajf nauza origino copy ya kitabu cha uchawi,black magic chenye elimu mbalimbali juu ya uchawi,matambiko,mazindiko na mahirizi,na nyota kimeandikwa na imam alghazliyyi....kwa aliye...
1 Reactions
28 Replies
18K Views
Oya wadau naitaji kufundishwa kuendesha gari ni DM tuelewane
0 Reactions
4 Replies
856 Views
Tunachora ramani za nyumba aina zote. Tunatoa ushauri wa ujenzi nk. Pia tutakupa gharama zote za ujenzi wa nyumba yako. karibu sana. 0654919121 0658919121
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Zipo mbili 1.La ukutani Urefu - futi 4 Upana - futi 1 Kimo - futi 3 Linegawanywa sehem tatu 2. La chini Urefu - futi 4.5 Upana - futi 1.25 Kimo - futi 3 Limegawanyika...
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Mm ni kijana mjasilia mali nataka boat ya kununua boat ndogo ya mbao,kwajili ya shughul za kitalii nataka boat tupu,ofa yangu ni milion2. Kwa mawasiliano nitafute kwa whatsapp +255656721501
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimezikumbuka sana jamani zambarau pichani mwenye kujua zinapatikana wapi kwa Dar anijuze nijikumbushe nilivyokuwa mdogo
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari ndugu zangu kama mnavyojua ktk ulimwengu wa crytpocurrency kadri siku zinavyokwenda unazidi kukua na kupanuka ktk nyanja mbalimbali na kampuni nyingi zimekuwa kila zinapotoa coin zao hutoa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini, nnaomba mwenye namba ya simu ya dalali wa nyumba/vyumba maeneo ya kimara mwisho tusaidiane pia kama kuna maelekezo ya ziada mwenzenu nataka hamia ukooo. Natanguliza shukrani
0 Reactions
19 Replies
49K Views
Nataka mdau aniuzie kambale kg 15 kila siku niko mlandizi. 0718593224
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari za jioni wandugu..kwa anae hitaji nyumba mpya na ya kisasa ya kupanga Dodoma anitafute .nyumba ipo ndani fence ina maji na umeme pia ni mpya ina vyumba viwili master...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Naomba msaada wenu wanaJF. Ni wapi naeza pata mafuta na sabuni za mwarobaini hapa DSM?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau, habari zenu? Naomba msaada wenu. Ni wapi naweza kupata maeneo ya kukodi mashamba ya mpunga wanapolima kwa umwagiliaji? Nataka nipate sehemu ili niwe nalima mara mbili kwa mwaka. Au ni...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Back
Top Bottom