*SPA Investment* wauzaji wa viwanja vya aina zote vya *Makazi* na *Biashara* (hotel site, beach plot, nk) vinapatikana *KIGAMBONI* *
*VIWANJA VYOTE VIMEPIMWA NA RAMANI ZIMETHIBITISHWA(BLUE...
Habari wana jamii,
Naomba anaewajua jamaa wanaohusika na kutunza wanyama. Wanakipindi Azam two kila Jumatano. Nipeni namba zao. Kuna Mbwa amegongwa na gari kavunjika miguu yote ya nyuma. Yupo...
Mabadiliko ya technologia yamefanya ufanyaji kazi wetu wa biashara ubadilike sana,kuna biashara ambazo zimekua kwa kiwango kikubwa kwa muda mfupi,na kuna biashara zimeanguka pia bila...
Habari wadau;
Mwenye kufahamu kuhusu bei na upatikananji wa mshine za kufyatua tofali kwa maeneo ya Arusha anijulishe aina pamoja na bei zake.
Pia mwenye uzoefu wa biashara ya kuuza tofali...
Habari,
Kiwanja kinauzwa, kipo karibu na kwa waziri wa fedha.
Kipo karibu na barabara,30×40.
Bei ;million 6, punguzo lipo.
Mawasiliano; 0786 382988.
Kwa walio serious tu.
Kiwanja kinauzwa kiko CHANIKA
ukubwa: 978 meter squares (Plot No. 142, kilichowekewa Tiki kulia)
kiko kabla hujafika CHANIKA MWISHO kimepimwa na ukikinunua tunakuprocessia na hati.
Katika picha...
Habari wana jamvi. Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya mbezi mwisho au kimara stop over. Iwe na vyumba viwili kimojawapo ni master, sebule na jiko, choo cha ndani cha wageni, maji 24/7, Luku...
Semi finished iko muembe mdogo, Kigamboni Dsm....in vyumba 3 kati ya hivyo 2 ni self contained, jiko na stoo yake,sebule na dinning room pamoja na public toilet. Imeshawekwa grills madirisha yote...
Tunatoa huduma za garden designing/landscaping na uuzaji wa miche ya miti. Ukihitaji miche ya miti,matunda na maua weka order yako sasa tukuandalie na/au kukuletea. Huduma hii (yaani pamoja na...
Habari wana jamvI!
Anahtajika wadada Wa kufanya Kazi mbili sehemu Moja, hapa Morogoro.
Stationery ni Mpya na pia Kituo cha Day Care ni kipya! Zote Siko sehemu moja (The same building ! )
Sifa: Awe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.