Habarini wana jf. Kama kichwa kinavyo jieleza. Kuku aina ya Sasso majogoo na matetea walio na umri wa miezi sita wanauzwa. Bei yake kwa majogoo inaanzia shilingi 15000/= -- 20000/= na kwa matetea ni shilingi 15000/=--18000/=. Wanafaa kwa kuliwa na kuendeleza kufuga. Wanapatikana Dar es Salaam Kiluvya kwa Komba. Kwa mawasiliano zaidi namba ya simu 0753 102 742