Nauza kiwanja kipo mtoni kijichi

Nauza kiwanja kipo mtoni kijichi

misasa

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2014
Posts
17,473
Reaction score
13,822
Kiwanja kiwanja kipo mtoni kijichi,kina view mkondo wa bahari, kina 2000sqm na kina leseni ya makazi(residential licence) bei 60mil maongezi yapo....pm
 
Acheni kejeli, heshimuni wazo na tangazo la mwenzenu.
 
misasa mimi nacomment tu sinunui kiwanja. Kuna mtu hapo juu kaandika maneno ya kashfa.

Nimependa ulivomjibu. Umecheka tu. Dah yaani umenifanya kidogo nilie. Watu wa aina yako wapo wachache sana.

Nakusihi uendelee Na moyo huo huo Na InshaAllah Mungu atakufanyia wepesi hiki kiwanja utakiuza Na kutimiza malengo yako. AAAMIN.
 
misasa mimi nacomment tu sinunui kiwanja. Kuna mtu hapo juu kaandika maneno ya kashfa.

Nimependa ulivomjibu. Umecheka tu. Dah yaani umenifanya kidogo nilie. Watu wa aina yako wapo wachache sana.

Nakusihi uendelee Na moyo huo huo Na InshaAllah Mungu atakufanyia wepesi hiki kiwanja utakiuza Na kutimiza malengo yako. AAAMIN.
Hata mimi sinunui lkn nimepita kuchangia tu na kukuombea uuze kiwanja chako.
 
misasa mimi nacomment tu sinunui kiwanja. Kuna mtu hapo juu kaandika maneno ya kashfa.

Nimependa ulivomjibu. Umecheka tu. Dah yaani umenifanya kidogo nilie. Watu wa aina yako wapo wachache sana.

Nakusihi uendelee Na moyo huo huo Na InshaAllah Mungu atakufanyia wepesi hiki kiwanja utakiuza Na kutimiza malengo yako. AAAMIN.
Asante sana mkuu, kwa kunitia moyo watu wa aina hii wapo wengi sana utakiwi kugombana nao mkuu
 
Sasa hivi hela imekuwa ngumu sana, kijichi ni sehemu nzuri sana
 
Kiwanja kiwanja kipo mtoni kijichi,kina view mkondo wa bahari, kina 2000sqm na kina leseni ya makazi(residential licence) bei 60mil maongezi yapo....pm
Mkuu kijichi sehemu gani?
 
Mil 60,Kipo Salasala kijichibama kijichi huko uswahilini karibu na Mbagala?
 
Sawa mkuu tangazo tumelisoma ila tunangoja bei ishuke na sisi wawekezaji tuingie
 
Na mm nauza kiwanja Kipo mtoni kijichi njia ya panda ya neluka maeneo ya Karibu na Shule ya neluka..million 65 njoo inbox
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom