Habar za sikuku wakuuu??
kama kichwa habar kinavyo sema hapo juu engine imetumika miezi 6 tuu na ni 24horse power na msumeno umetumika kwa mwaka mmoja gharama ya mauzo ni 2.5ml
Kwa wale ambao...
+255 657 685 268 WhatsApp!
Pata ramani za nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha!
1 chumba master
2 vyumba vya kawaida
Sebure,
Dining, jiko na...
QKaccount is php based web application that help you to manage your stock. Update stock, purchase and sales from anywhere, Office, Home, Warehouse or on the go. You only need internet connection...
Pls Wadau!
Mwenye ofisi ya kupanga au anayejua inapopatikana aniitumie taarifa mapema kabla ya kesho Ijumaa: pangolinconsultants16@gmail.com
Maeneo: Along Mwendokasi Rd: Kimara-Posta...
Natafuta mtu nwenye uzoefu wa kuandika research proposal. Sihitaji kuandikiwa nataka tu yeye aipitie na kutoa ushauri kabla hijamfikia supervisor wangu. Ambaye yupo tayar an pm ili tuyajenge
Wadau Pls mwenye ofisi ya kupanga au anayejua inapopatikana aNitumie taarifa mapema: pangolinconsultants16@gmail.com
Maeneo: Alongo Mwendokasi: Kimara-Posta, Kimara-Gerezani, Kimara-Morocco Only...
Ndugu wana JF,
Kwa yeyote ambae ana simu ya ONETOUCH ALCATEL aina kama hyo inavyoonekana kwenye picha, ambayo imezingua ila kioo ni kizima naomba anitafute kwa 0714027443 tufanye biashara...
Dear Potential client, I would like to inform you that Fleetcare Ltd, is an authorized dealer for Donaldson filters in Tanzania. For you are requirements of any filter please contact us. We have...
Nauza kitanda cha chuma 4*6 kwa bei ya 250,000 tu, kina uwezo wa kukunjwa na kukunjika kwa jinsi utakavo
Nipo Dar es salaam kama unahitaji nitafute kwa namb >> 0766166483
Jipatie kiwanja chako sasa kwa Mkopo wa miezi 72. Viwanja vyetu vimepimwa vina hati miliki kutoka wizarani.
Malipo ya awali ni 25% kisha iliyobaki utailipa taratibu kila mwezi kwa miezi 72...
Nyumba self contained yenye vyumba vinne vikubwa ipo kwenye kitalu namba 539,Block F, Ubungo maziwa karibu na Mabibo inapangishwa kwa Tsh laki nne (mazungumzo yapo)
Nyumba iko karibu na Kituo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.