Wajivuni show room furniture ni mafundi hodari wa kutengeneza masofa ya aina zote kwa bei rahisi. njoo ujipatie sofa lako sasa.
Tupo kawe ukwamani mkabala na masjid ukwamani. au wasiliana nasi...
Nyumba ya kisasa yenye room nne za kulala(pamoja na master) ipo ndani ya fence ikiwa na huduma zote muhimu kama Umeme na Maji inapangishawa,ipo maeneo ya Matembele ya pili kivule mita 200 kutoka...
Wadau, ninazo UPS na Printers naziuza kwa bei nafuu UPS ni APC 650 VA na Printers sifa zake ni kama ifuatavyo
1.HP P3015 hii ni Laserjet printer black and white, ina uwezo wa kuprint more than...
NYUMBA INAUZWA NYUMBA IPO KIBAHA PICHA YA NDEGE KUTOKA BARABARANI KAMA 3.KM NYUMBA INA VYUMBA VINNE KIMOJA MASTER NYUMBA IPO KTK MAZINGIRA MAZURI KAMA MUNAVOIYONA INA UWANJA MKUBWA BEI MAELEWANO...
Husika na kichwa cha habari.. Nilinunua line ya ttcl na nikawa naitumia mtandao ulikuwa unasoma vizuri lile eneo nililokuwa naishi . sasa nimehama lile eneo na huku nilipo ttcl ni majanga mtandao...
Wakuu habari za jumapili. Naomba msaada wa kujua bei na suppliers wa mashine za kusaga na kukoboa mahindi na mpunga.
Naomba pia kwa wajuzi wa eneo hili wanifahamishe brand zipi ndo bora pamoja na...
Used smartphone kutoka Dubai na Europe zinauzwa.
Infinix zero 4- bei 400,000/=
Infinix zero 4 Plus bei 450,000/=
Tecno K7 bei 250000/=
Mawasiliano 0715808028.
Natafuta soksi za pundamilia. Za mchanganyiko wa rangi ya blue na nyeupe.
Au kijani na nyeupe.
Kwa bei ya jumla mwenye
nazo
Tuwasiliane 0714306015
AU pm
Naambatanisha na picha za mwonekano wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.