Kama tatizo ni dogo tengeneza kwanza ndo uuzeGari aina ya Suzuki Swift ipo katika hali nzuri sana, bei ni Tsh. 3,000,000/= ila inatatizo dogo katika gia box. ni automatoc, rangi nyeusi, lipo Dar Es Salaam. Wasiliana nami kwa simu Na. 0713 366 393.
Ndio manaake... Kama mwenyew kashindwa kurekebisha! Hapo tambua inabidi iyo gear box itafutwe mpya.Naitaka.
Vipi hilo tatizo la gear box nitaweza kulifix kwa sh.ngapi?
Lazima inunuliwe mpya?