Natafuta mikorosho ya kisasa? Nitapataje mwenye kujua pakuipata aniPM
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni uwongo iliokubuuu aiseH
mkuu kama bado hujafanikisha ni-PM nikuunganishe na jamaa mmoja hivi yupo NEWALA anatumiwa na watu BODI YA KOROSHO kuzalisha miche ya wakulima.Natafuta mikorosho ya kisasa nitapataje mwenye kujua pakuipata ani pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kipindi nilisikia walitoa mbegu za bure kuhamasisha giki kilimo ajaribu kuwacheck
mkuu kama bado hujafanikisha ni-PM nikuunganishe na jamaa mmoja hivi yupo NEWALA anatumiwa na watu BODI YA KOROSHO kuzalisha miche ya wakulima.
kwa mwaka yeye tu anaweza kuzalisha zaidi ya miche laki 8.
Nlikujibu mkuu na nimekuuliza maswali kadhaa lakini umeshindwa kujibu.nanjinji -nimeku pm naona msg haijakubali nilihitaji connection na Huyo jamaa yako
Sent using Jamii Forums mobile app
sorry mkuu kumbe rajoh ndio alikuja PMnanjinji -nimeku pm naona msg haijakubali nilihitaji connection na Huyo jamaa yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna mkuu,
Ni bora na nakumbuka mwaka jana walianza wilaya ya Ruangwa kwa kugawa miche bure,Kwani hii miche ambaya serikali inagawa bure sio bora?
Sisi tumesha pewa na tumesha ipanda mwaka jana..
Sent using Jamii Forums mobile app