Mikorosho ya kisasa

Kakak
Nami ningependa kupata msaada huo nahitaji miche



Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna mkuu,
shamba lako liko wilaya gani na lina ukubwa gani..?
nakuuliza hivi kwa sababu za kitaalamu na jamaa anapokea order nyingi pia hivyo inakuwa rahisi kwake kupanga route za upande mmoja.
Kesho BODI YA KOROSHO inapanga bei elekezi huko makao makuu ya Mtwara
 
Kwani hii miche ambaya serikali inagawa bure sio bora?
Sisi tumesha pewa na tumesha ipanda mwaka jana..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bora na nakumbuka mwaka jana walianza wilaya ya Ruangwa kwa kugawa miche bure,
kuwa na amani tu mkuu, ila kinachofanyika Bodi ya korosho wanawatumia watu waliopewa mafunzo ili kutengeneza vitalu kwa ajili ya kuotesha miche ambayo baadae inaenda kwa wananchi bure lakin hawapati wote si unajua tena kitu cha bure..
Bei dira mwaka ni Tzs 1450 kutoka ile ya mwaka jana Tzs 1300.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom