Matofali ya 'kupika' Mbeya

Matofali ya 'kupika' Mbeya

Waambi

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
737
Reaction score
81
Wadau pale Mbeya mjini wapi wanauza matofali ya kuchoma? Tofali moja Sh..ngapi na je nyumba ya vyumba 4 itahitaji matofali mangapi??
 
Upo mbeya mjini ya wapi? sai, soweto, mwanjelwa, forest mpya, forest ya zamani, iwambi, nzovwe, uzunguni, uhindini, sokomatola au sehem gan? maana hzo location zina'detarmine utoe wapi tofali. bei ya tofali ni tsh 150/-.
 
Upo mbeya mjini ya wapi? sai, soweto, mwanjelwa, forest mpya, forest ya zamani, iwambi, nzovwe, uzunguni, uhindini, sokomatola au sehem gan? maana hzo location zina'detarmine utoe wapi tofali. bei ya tofali ni tsh 150/-.

Ahsante wanawitu...
 
Kiwanja kipo Nonde Juu karibu na kata ya ghana
 
Tafuta tofali 6000 zitatosha Waambi.
Nimependa mno jina lako la Kisafwa pyua!
 
Last edited by a moderator:
Asante Paka! Nisaidie hivi tofali moja sh.ngapi?
 
Back
Top Bottom