Amana bank ni benk inayofuata misingi ya kiislam ambapo hukopesha bila kutoza riba kama uislamu unavyoamrisha. Bank hii inakopesha bila kubagua dini kwani inatoa huduma kama bank zingine. Nimetembelea tawi lao pale karibu na soko la kariakoo wakanipa maelezo mazuri saana na nimevutiwa na huduma zao. wana JF Changamkieni...