mtafuta-maisha
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 1,982
- 2,934
Iko Wazo-Mivumoni Dar es Salaam.
Iko ndani y6a gate inajitegemea na kuna wapangaji watano kila mtu anajitegemea kwa kila kitu japo ndani ya gate moja.
kuna parking ya kutosha magari manne.
kila mtu na luku yake.
hakuna maji ila maji yanjapatikana nje tu ni ya kununua.
bei 120,000 hakuna dalali.
Iko ndani y6a gate inajitegemea na kuna wapangaji watano kila mtu anajitegemea kwa kila kitu japo ndani ya gate moja.
kuna parking ya kutosha magari manne.
kila mtu na luku yake.
hakuna maji ila maji yanjapatikana nje tu ni ya kununua.
bei 120,000 hakuna dalali.