Jibu tosha kwa mama mjamzito , mzazi, wenye upungufu wa kinga mwilini pamoja na watoto, Ni viazi lishe na unga wake wapenzi karibuni. Nipo arusha popote natuma kwa kuchangia nauli kdgo. Viazi...
Good condition
-18PPM
-Print , Copy , Scan and Fax (phone option)
-Low Noise level
-Low power consumption (power saver) auto sleep on
-Handles A4,A5&B4 paper
-Weight 8Kg
Main advantage saves...
Nahitaji MTU ambaye ataweza kuniaandalia business plan ya kuombea mkopo bank. Siko Tanzania kwa sasa na shughuli zangu hazipo tanzania, eneo nililipo sijapata MTU was kuweza niandalia iliyoshiba...
Mpooooo?smart phone nyingine tena inauzwa, ipo vizuri sana wale mlio kosa ile iliopita mka nilaumu kila MTU mi nataka mi nataka,hii APA nyingine kama upo tayari kama kawaida mfumo ni uleule ni pm...
Hbr,natafuta soko la kuuza bidhaa yangu hiyo,kwa wenye maofisi dar na maeneo ya jirabi mnakaribishwa mzigo upo unaletewa hadi ofisini kwako
0764178040!au yeyote anaehitaji napokea order
Mkazi wa Moshi Ndugu Erasto Dismas Floridi (22) akabidhiwa bajaji yake mara baada ya kuibuku kuwa mmoja kati ya washindi wa promosheni ijulikanayo kama Jiongeze na Mpesa, Shinda na SportPesa...
Ni viatu bora kabisa na vyenye kuvutia.
Kwa wanawake na wanaume.
Size mbalimbali. Pia ukitaka kuweka oda unatengenezewa.
Kwa wale wanaohitaji pairs nyingi wanapata punguzo kubwa.
Ofisi na...
salamu zenu wwkuu
Shamba la miti aina ya mipaina linauzwa hekari moja milioni na laki mbili zipo heka 50 pia shamba kwajili ya kilimo linauzwa hekali ni milioni moja zipo hekali 100 karibu pm
African enterpreneurship award ni shindano kwa ajili ya Wajasiliamali na wabunifu wa Kiafrika ambao wana mawazo na/au biashara ambazo ni za ubunifu na zina uwezekano wa kunufaisha watu wa bara la...
Nahitaji home thieter iwe Very known Brand Eg. Samsung, LG, Sony, Philips na Nyingine.
Njoo na Specifications kama Power (Wattage), Technology used, Files format compatibility, Cabling na vingine...
Nauza Simu aina ya tecno c8 Simu haina tatizo lolote na simu imetumika kwa miezi sita tu simu ina uwezo mzuri sana katika utendaji kazi so hautajutia kuinunua na ukiitumia ukagundua tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.