habari wandugu nilisikia kuna kampuni ya Wakorea fulani hivi wanakopesha mashine za kutolea photocopy lakin sijajua vizuri wako wapi naomba anayejua anisaidie au kama kuna kampuni inafanya hyo huduma aniambie nami nijikwamue kimaisha
natanguliza shukrani
natanguliza shukrani