Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nahitaji kioo cha Laptop kiwe LED au LCD sawa tuu. Kisiwe na cracks au kuvuja wino kiwe clean Size ni 15.6 inches Njoo na Bei yako
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Ps3 ina games 5 ndani na full accessories Bei Ths. 400,000. Nicheki kwa 0677888412 au 0625612638
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari wapendwa .kama kichwa cha habari kinavyoeleza tunapaua nyumba mitindo yote na pia tunapaua kwa viungo vya makuti hii mara nyingi inatumika lodge nk. tupo arusha.0683 655115
0 Reactions
2 Replies
911 Views
SIFA: • Ni inch 17 ( 17') • Model Rs 1707 • Mpya imetumika miezi 6, haina tatizo lolote. √ Ipo Dar Es salaam √ Bei Tshs 160,000 Tuwasiliane : 0675 107182
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nauza sofa la ngozi la mtu mmoja kwa bei ya 150,000 tu Halina ubovu wowote wala mchubuko wowote liko vizuri Nipo Dar es salaam, kama unahitaji nitafute kwa namb >> 0693289203
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Tunachora ramani za nyumba aina zote. Tunatoa ushauri wa ujenzi nk. Pia tutakupa gharama zote za ujenzi wa nyumba yako. karibu sana. 0654919121 0658919121
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Tunakodisha na Kuuza. Tunapatikana Dar as salaam, Singida na Dodoma karibu sana. 0654919121 0658919121
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Inahitajika gari ndogo kati ya aina hizi; Toyota duet,daihatsu terios kid daihatsu,Vitz au gari kama hiyo,namba B Kama Ipo njoo PM nikupe mteja,Gari iwe Dar es Salaam Karibu Sana
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wadau msaada tutani Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya ubungo au sinza bajeti yangu 150 iwe master pazuri mana
1 Reactions
2 Replies
717 Views
Nauza ndimu jumla chede kwanzia 5 25,000 Kesho mzigo upo Namba zangu ni 0719818147/ 0687365045 Napatkana mtoni kwa azizi ally leo napokea oder mwishoi saa kumi nambili jioni
0 Reactions
2 Replies
839 Views
Habari wana Jamii Forums, ninaomba msaada kwa anayeuza au kujua nakoweza kupata Tyre ya pikipiki size 180/55 ZR 17. Najua humu kuna wafanyabiashara na wajuzi wa hizi bidhaa. Ahsanteni.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Friji kubwa kabisa used aina ya Samsung yenye milango miwili inauzwa kwa bei nzuri tu ya shilingi laki 450,000/= pia mazungumzo yana ruhusiwa.Friji bado ipo kwenye hali kabisa.Kwa serious buy...
1 Reactions
16 Replies
10K Views
Wadau NATAFUTA KIWANJA ukubwa 30×30 m sio hatua Kati ya Kwa Mwingira ,mjimwema mpaka Ungindoni , kuwa na Barabara ya gari umeme jirani simu yangu 0752334403.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
core i5 ram 4gb hdd 500gb 21.5 inches Used kwa miezi kadhaa lakini bado iko safi haina tatizo lolote. Bei 1.6 milion Picha zinagoma upload anayehitaji kuona anitxt kwenye namba 0758358580 whatsapp...
0 Reactions
0 Replies
660 Views
Habari wana JF, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, natafuta nyumba za kupanga za NHC Arusha.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Huwa nasikia tu Drake beats ila nimeulizia kariakoo sijazipata hivi zinauzwa wapi?? Au kama kuna earphone nyingine kali nisaidieni wakuu
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Nauza shamba heka 1, lipo Boko Mnemela-Kibaha. Eneo lipo umbali wa 8km kutoka shirika la elimu kibaha na linafaa kwa ujenzi, ufugaji na kilimo. Halipo mbali sana na barabara inayounganisha Kibaha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pichani ni asali ya nyuki wadogo halisi kwa asilimia 100 Ukitaka kupima kabla hujachukua ni sawa UKITAKA KUJUA UHALISIA >chachu >nyepesi >rangi ya kahawia MWENYE kuhitaji 0683936934 Bei...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa anaeitaji mayai ya kuku wa kienyeji kiasi chochote na sehemu yoyote ile yanapatikana tupo mbeya gharama za usafiri ni juu yako yai moja ni tsh 500
1 Reactions
1 Replies
874 Views
Back
Top Bottom